Habari wanajamvi,,,
Hali ya usingizi katika chuo pendwa cha udsm sasa ni mbaya,,,,, kunguni wameondoa ladha yote ya usingizi imeisha,,, sio hostel za campus wala mabibo hali ni mbaya. Watu wanakesha vimbwetani waweza fikiri wanasoma kumbe watu wanakimbia kunguni vitandani kwao ,,, sasa hivi...