Anonymous Senior Member Feb 3, 2006 125 321 Nov 13, 2016 #1 Hii ni kwa Vyuo vyote vya serikali na binafsi. Elimu ya diploma ilikuwa chini ya NACTE sasa inarudi NECTA na kufuata mfumo wa zamani. Higher Diploma imefutwa. Source: Waraka namba 5 wa tarehe 9/11/2016
Hii ni kwa Vyuo vyote vya serikali na binafsi. Elimu ya diploma ilikuwa chini ya NACTE sasa inarudi NECTA na kufuata mfumo wa zamani. Higher Diploma imefutwa. Source: Waraka namba 5 wa tarehe 9/11/2016
Kiboko. JF-Expert Member Jul 31, 2013 2,891 1,211 Nov 13, 2016 #2 Dawa n kutomchagua maguful tena 2020 bora aingie fisad mwenye vision kulko huyu jamaaa
Nyaluhusa87 JF-Expert Member Oct 14, 2011 1,303 262 Nov 13, 2016 #4 Piga picha Hilo tangazo hapo kwenye ubao wenu wa matangazo
S Salary Slip JF-Expert Member Apr 3, 2012 47,014 144,371 Nov 13, 2016 #5 Pigo juu ya pigo mpaka tukiona kijani tuwe kama tumeoma kituo cha polisi.
J jabulani JF-Expert Member Aug 1, 2015 5,547 11,694 Nov 13, 2016 #6 Ni balaa, taifa la viwanda bila elimu bora.
iparamasa JF-Expert Member Nov 14, 2013 13,438 14,916 Nov 13, 2016 #11 [HASHTAG]#tukutane2020[/HASHTAG]
Keyboard Warrior JF-Expert Member Aug 5, 2014 985 2,884 Nov 13, 2016 #12 Nchi inaukosefu wa walimu, halafu wanaleta haya mambo.
technically JF-Expert Member Jul 3, 2016 11,975 48,843 Nov 13, 2016 #13 Duuuuh Tanzania imekuwa nchi ya hovyo sana.... Sometimes wanyonge naona wanyonge wanaoongelewa ni sijui wapo magogoni Tu......
Duuuuh Tanzania imekuwa nchi ya hovyo sana.... Sometimes wanyonge naona wanyonge wanaoongelewa ni sijui wapo magogoni Tu......
kizaizai JF-Expert Member Mar 31, 2010 5,339 6,494 Nov 13, 2016 #14 enockino said: Chuo gani Click to expand... Vyuo vyote vya serikali na binafsi. Elimu ya diploma ilikuwa chini ya NACTE sasa inarudi NECTA nakufuata mfumo wa zamani. Higher Diploma imefutwa.
enockino said: Chuo gani Click to expand... Vyuo vyote vya serikali na binafsi. Elimu ya diploma ilikuwa chini ya NACTE sasa inarudi NECTA nakufuata mfumo wa zamani. Higher Diploma imefutwa.
mmbangaya JF-Expert Member Jan 16, 2015 997 1,763 Nov 13, 2016 #15 Angalia sheria ya habari itakuhusu ndugu
muafi JF-Expert Member Oct 6, 2015 2,114 4,798 Nov 13, 2016 #16 jamani hii habari ni kweli na imefutwa vyuo vyote kwanzia sasa cheti ni kama kawaidaaa
iparamasa JF-Expert Member Nov 14, 2013 13,438 14,916 Nov 13, 2016 #17 watu wamechoma hela zao kulipia ada,serikali ikapokea ada,nacte ikawapitisha!! kesi tamu kabisa mahakamani unapata bonge la fidia wanasheria amkeni
watu wamechoma hela zao kulipia ada,serikali ikapokea ada,nacte ikawapitisha!! kesi tamu kabisa mahakamani unapata bonge la fidia wanasheria amkeni
enockino JF-Expert Member Oct 14, 2014 272 171 Nov 13, 2016 #18 kizaizai said: Vyuo vyote vya serikali na binafsi. Elimu ya diploma ilikuwa chini ya NACTE sasa inarudi NECTA nakufuata mfumo wa zamani. Higher Diploma imefutwa. Click to expand... Una copy ya secular iliyofuta hiyo diploma?
kizaizai said: Vyuo vyote vya serikali na binafsi. Elimu ya diploma ilikuwa chini ya NACTE sasa inarudi NECTA nakufuata mfumo wa zamani. Higher Diploma imefutwa. Click to expand... Una copy ya secular iliyofuta hiyo diploma?
Tume ya Katiba JF-Expert Member Apr 6, 2012 4,896 1,862 Nov 13, 2016 #19 We don't drink poison, we don't hang ourselves.. ccm front to front x2.... Let them read numeral eeee ccm front to front...
We don't drink poison, we don't hang ourselves.. ccm front to front x2.... Let them read numeral eeee ccm front to front...