We tangu lini unapondea serikali yenu ya ccmHahaha!!
Wanasomea Gesi
Unabisha nini?Feza ni shule ya Kiislamu? Usije ukatudanganya.
Sio Shule ya Kiislamu ni Shule ya Waislamu. Hizo Elimu zenu tumieni vizuri.Unabisha nini?
Hata mimi nimeshangaa sanahiyo ya ISLAMIC safi sana maana shule za hawa jamaa hua na hali mbaya sana kwenye academic results
Unabisha nini?
Hata sio shule ya Waislamu, mmiliki wake ndio muislamu ni mradi wa mtu sio dini? Ni sawa na kusema ITV ni ya Wakristo kisa mmiliki wake ni Mkristo.Sio Shule ya Kiislamu ni Shule ya Waislamu. Hizo Elimu zenu tumieni vizuri.
Acha ujinga wako wewe, Feza sio Shule ya Kiislamu ni Shule ya Waislamu.Feza ni ya nani? waarabu wote ni wakristo? anyway natania tu mzee shule za kiislam zinapiga sana
yaani necta hiyo link yao kimeo, inafunguka usiku tuHabarini za asubuhi?
Naomba ambae amepata link ya uhakika ya kuangalia matokeo ya form two anipe direction
Mtwara Wanaangaika Nakorosho
Kuna shule imepigwa Results Withheld, Fee hawa yamewasibu yapi? Hawakulipa fee za mitihani na kama ni hivyo namba na mitihani walitoa wapi?