Recent content by Blush

  1. Blush

    Natafuta mkopo wa haraka, milioni 6, kulipa kupitia mshahara wangu

    Hahaha Jamaa kaamua kuja na means of operand nyingine kbs. Hongera kwa ubunifu ila sidhan kama utapata kichwa humu ndani.
  2. Blush

    Lowassa na UKAWA wamesahau kuwa SIASA NI SAYANSI

    Umeongea mengi, Ila kwenye hitinisho ungelink na kilichowapa ushindi wapinzanikenya.
  3. Blush

    msaada ant viruses kwaajiri ya windows phone

    Nikidownload nyimbo hazikubali kuplay, Picha za kupiga na zile ninazotumiwa whatsapp zinaharibika, nikidownload App nfano bible, dictionary hazifungukizinaandika waiting WIFI, PIA baadhi ya Picha nazopata kwa njia ya whatsapp naweza kutumiwa moja baadaa ya mudahiyo Picha moja zinakuwa zaid ya 7 .
  4. Blush

    msaada ant viruses kwaajiri ya windows phone

    Wakuu Habari.. Naombeni msaada Ni ant virus IPi kwaajirl ya Microsoft Lumia 535, simu yangu Ina virus wanatafuna mafile yangu.
  5. Blush

    Mabati ya Kiboko G28 yana matatizo, TBS mko wapi?

    Kosavkubwa ulilofanya Ni kutokumshirikishavfundi, inakuaje hadi unalipitia usikague nembo ya TBS, umegundua wakati Fundikaishaanza kazi ya kupaua.
  6. Blush

    11.1k inamaanisha nini kwenye mitandao ya kijamii?

    Habari za majukumu wakuu... Tafadharini naomba kuuliza nimekuwa nikiona kwenye page za watu maalufu mfano kwenye tweeter, followers 11.1k n.k hiyo k inamaanisha nini?
  7. Blush

    Nini maana ya 'child adoption'?

    Ndiyo ni kwamjibu wa sheria zetu. Kuchukua kienyeji watu wanakosea ila taratibu zake zipo japo kwa hapa TZ hili zoezi la kuadopt c common sana.taratibu n nyingi hapo nimetaja baadh tu.Kama unataka kufanya hivyo waone afisa ustawi wa jamii. Watakupa utalatibu. Au utawasiliana na mm naaweA...
  8. Blush

    Nini maana ya 'child adoption'?

    Ni kuasili mtoto, mtoto asiye wako wa kuzaa unamchukua kisheria anakuwa wako. Kwann watu wanaadopt? 1.kuzaa watoto wa jinsia moja 2.kutokuwa na uwezo wa kuzaa/kuzalisha. 3. Mapenzi/upendo n.k mtoto ambaye umem-adopt huwez kumuona nikosa kisheria. Pia mtoto unayem-adopt lazima umzidi...
  9. Blush

    Perfume gani wanawake wanapenda kuisikia kutoka kwa wanaume?

    Tafuta sabuni ya gwanji ndo mpango mzima
  10. Blush

    Mimi ni polisi: Leo halali nyumbani

    Kama upo CCP bora wakuhamishe. Utatuharibia vijana wetu.
  11. Blush

    Watuhumiwa 19 wa ugaidi Turiani wakamatwa

    Mkuu kwahiyo kova alifanya sinema gani iliyomfanya akae hapo kanda maalum?
Back
Top Bottom