Ntuzu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 17,418
- 10,877
Ugonjwa wa ukimwi hauangilii km wewe Ni masikini au Tajiri, kijana au Mzee, wasomi wakubwa na wasio wasomi, wachungaji au mapadri au mashehe au Ni muumini wa kawaida, askari au raia Wa kawaida, mwana michezo au shabiki wa michezo! Bouncer au mwanamieleka! Kiongozi au muongozwa! Haungalii MTU yoyote Yule! Ukimwi unauwa tu. Sasa huyo mdau km haelewi haya achana naye!
Last edited by a moderator: