Husika kichwa hapo juu nahitaji kuhost website lakin nimezunguka mitandao mingi naona wanalipia kwa mwaka lakin mm bajeti yangu haitoshi msaada kwa hilo please ni sehemu gani naweza kuhost website na niwe nalipia kila mwezi
Kampuni ya simu ya Zantel imetoa msaada wa kompyuta 21 na huduma ya intaneti bure kwa vyuo saba vya walimu pamoja na shule ili kuboresha na kukuza mfumo wa elimu kupitia mafunzo ya habari na teknolojia ya mawasiliano.
Msaada huo wenye thamani ya Sh milioni 34 umetolewa wiki moja tu baada ya...
Muungano wa Ulaya EU umeifungulia rasmi mashtaka ya kujihusisha na vitendo vinavyozuia ushindani wa kibiashara kampuni ya kuhusiana na jinsi kampuni hiyo ya teknolojia inavyotangaza mfumo endeshi wa simu wa android.
Kamishna wa ushindani wa kibiashara katika umoja wa ulaya, Margrethe Vestager...
Makampuni mengi yanayojihusisha na teknolojia siku hizi yanathamini ulinzi na usalama wa taarifa za wateja wake sana. Kwa mfano tumeona kampuni ya Apple ikipinga maamuzi ya FBI kutaka kufungua moja ya simu yake.
Pengine baada ya tukio hilo la iPhone ndio ndio limepelekea mtandao wa Whatsapp...
Mahakama ya Kikatiba nchini Afrika Kusini imeiamuru kampuni ya mawasiliano ya Vodacom kumlipa mwanamume aliyebuni wazo la kutuma ujumbe wa kumuomba apigiwe simu.
Gazeti la Sowetan la Afrika Kusini linasema mwajiri wa zamani wa Vodacom Nkosana Makate aliambia mahakama kwamba huduma ya “please...
Je, wajua mtu aliyevumbua nambari ya siri maarufu kama PIN ambayo watu wengi hutumia katika kadi za benki na katika kufanya malipo hakulipwa chochote kutokana na uvumbuzi wake?
Mwanamume huyo si mwingine ila ni James Goodfellow.
Alipata wazo la kutumiwa kwa nambari za siri kulinda akaunti za...
.
Na Adam Mbwana,
Wakiamua wao hakuna anayeweza kupinga maana wao ndio wenye ardhi yao, wao ndio wenye ligi yao na wao ndio wenye vyombo vyao vya habari ambavyo vinaongoza kwa kuwapa watu umaarufu na kuufunika muda wowote wautakao wao. Lakini maamuzi hayo yanakuwa na nguvu endapo tu kama kuna...
Katika kuadhimisha siku ya wafanyakazi, Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli ametangaza kupunguzwa kwa kodi ya mapato PAYE kutoka asilimia 11% hadi asilimia 9% huku hiyo ikimaanisha kuwa kila mfanyikazi atapata ongezeko la mapato yake kwa asilimia 2%.
Magufuli alitangaza kauli hiyo kufuatia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.