Msaada mwenye connection na shule yoyote naweza fundisha nitashukuru hata kwa kujitolea ili mradi niwe napata posho kidogo haijalishi private au government, pia iwe secondary au primary nitashukuru, pia sio lazima kufundisha kazi nyingine ikiwepo nitashukuru.
Nimesoma Bachelor Degree of...
Tigo kwa mwez 10k unapata GB 4.4
Msg kwa mwez elf 1 tu unapata msg Zaid ya elf10
Dakika kwa wiki elf 1 unapata dkk300+
Kwa mwez vocha kiumla ni elf15 kwa Mimi nisiekua na social network nyingi
Nimemaliza bachelor degree of education in history and kiswahili language (2019)mwenye nafasi ya kazi katika taasisi yoyote ile naomba msaada wako iwe ndani au nje ya field yangu nitashukuru sana.
Nipo Lindi Nachingwea
Jinsia; female
Age; 29
Habari zenu, naomba mwenye idea ya Day care anisaidie ukitaka kufungua day care unatakiwa uwe na vigezo gani na nini kinahitajika ili umiliki Day care na unatakiwa kuanza na watoto wangapi?
Samahani naomba kuelekezwa head office za ASA MICROFINANCE LTD Kwa Dar ni wap!!? Yaani napanda bus gani na kushuka kituo gani[emoji120]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa wenye biashara ya Barber shop au saluni ya kiume naomba kujua set ya mashine ya kunyolea ni bei gan?? Au Kwa kuanza biashara hiyo unaweza kununua nusu ya seti au hta moja wapo tu ili biashara ianze? Naomba msaada Kwa wazoefu wa biashara hii.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.