Usaili TAKUKURU

Usaili TAKUKURU

Taarifa kwa kifupi ni kwamba walioingia Depo CCP mwaka jana Mwezi April(Wachunguzi)na walioingia Depo CCP June(Wachunguzi Wasaidizi)wote walimaliza Depo kwa pamoja tarehe 29/9/2022 hivyo wapo makazini sasa hivi(nilihudhuria Passing Out yao CCP siku hiyo)
Hizi ni kazi mpya zilizotangazwa January 2023
Mwenye swali aulize kabla sijalewa maana leo ni weekend
 
.
Screenshot_20230225-160545.jpg
View attachment FOMU-YA-TAARIFA-MUHIMU-ZA-MWOMBAJI.pdfView attachment Aptitude-Test-Wasaidizi-2023.pdfView attachment Aptitude-Test-Wachunguzi-2023.pdf
 
Hongereni wote mlioitwa kwenye usaili. Kama ya Jarkata mmeyasahau anzeni kujikumbusha. Kama uliiva imeiva tu,
Tip;
Mchujo wa kwanza kwenye kwata, written (comprehension) then oral mwisho mtamaliza na vipimo vya afya kabla list haijatoka Tena kwenda kozi. Nawatakia mafanikio mema
Jarkata ndo kitu gani?
 
Nakumbuka walishafanyaga usaili, mwanzo nilijua ni list mpya kumbe ni walewale walioitagwa mwaka jana.
Cdhan mdogo angu ndio ameomba kwa mara ya kwanza majuz tu hapo na jina Lake limetoka hajafanya usahili wowote ule
 
Cdhan mdogo angu ndio ameomba kwa mara ya kwanza majuz tu hapo na jina Lake limetoka hajafanya usahili wowote ule
Ni list mpya, wale wa mwanzo walishaajiriwa. Hizo ndio taarifa nilizopata. Hongera zake sana
 
Jamani msaada kwa anaejua muundo wa maswali ya oral interview ya takukuru. Ahsanteni.
 
Hongereni wote mlioitwa kwenye usaili. Kama ya Jarkata mmeyasahau anzeni kujikumbusha. Kama uliiva imeiva tu,
Tip;
Mchujo wa kwanza kwenye kwata, written (comprehension) then oral mwisho mtamaliza na vipimo vya afya kabla list haijatoka Tena kwenda kozi. Nawatakia mafanikio mema
Mbwembwe nyingi Ila watu wanatafuna takrima kama Kenya
 
Back
Top Bottom