Mwl Physics na Mathematics anatafuta shule ya kufundisha

Mwl Physics na Mathematics anatafuta shule ya kufundisha

Circle

Member
Joined
Jan 9, 2022
Posts
21
Reaction score
6
Ndugu Wana Jamii Forum, poleni na majukumu ya kulijenga taifa.

Mimi ni mhitimu wa chuo kikuu Cha Dar es salaam (UDSM) tawi la DUCE, nimehitimu mwaka 2018, ngazi ya degree.

Nimekuja kwenu mnipe connection ya kazi kufundisha masomo ya Fizikia pamoja na Hisabati , either kwa shule yoyote unayoifahamu yenye uhitaji ama kama wewe mhusika wa bandiko hili waweza niunganisha.

Nina uzoefu usiopungua miaka 3 wa kufundisha Fizikia na Hisabati kwa O'level na pia kufundisha Hisabati kwa A' level mwaka mmoja(1).

Kwa maelezo mengine waweza nipata kwa namba hii +255758234994. Napatikana Dar es salaam.

Natanguliza shukrani zenu.
 
Ndugu wabobezi wa jamii forum , naowaombeni connection ya kazi ya kufundisha masomo ya physics na Mathematics.

Mawasiliano: 0758234994
Natanguliza shukhran kwenu wakuu.
Elimu gani uliyonayo, uzoefu???
 
Ndugu wabobezi wa jamii forum , naowaombeni connection ya kazi ya kufundisha masomo ya physics na Mathematics.

Mawasiliano: 0758234994
Natanguliza shukhran kwenu wakuu.
Weka tangazo vzr dear edit hapo gender age location education level etc ... Mungu akutangulie
 
Kwa interview hii ndogo tayari Kuna tatizo hapo
Yani unashindwaje kuweka
CV kamili hapo kuepuka maswali madogo madogo yasiyo na sababu
 
Kwa interview hii ndogo tayari Kuna tatizo hapo
Yani unashindwaje kuweka
CV kamili hapo kuepuka maswali madogo madogo yasiyo na sababu
Samahani mkuu, unahisi vitu gani vina miss, kwenye tangazo langu.?

NB: Hii sio CV, nitangazo tu. Natangazo haliwezi likabeba vitu vyote vinavyopatikana kwenye CV. Ndo maana nimetoa contact pale . Mwisho naomba connection.
 
Samahani mkuu, unahisi vitu gani vina miss, kwenye tangazo langu.?

NB: Hii sio CV, nitangazo tu. Natangazo haliwezi likabeba vitu vyote vinavyopatikana kwenye CV. Ndo maana nimetoa contact pale . Mwisho naomba connection.
Unashindwa Nini hata kuonyesha
Mtu ni jinsia gani
Level ya elimu
Chuo gani kasomea
Umri
Uzoefu
Anapatikana wapi
Hivi ni vitu vya muhimu vya awali mtu yeyote atajiuliza
 
Unashindwa Nini hata kuonyesha
Mtu ni jinsia gani
Level ya elimu
Chuo gani kasomea
Umri
Uzoefu
Anapatikana wapi
Hivi ni vitu vya muhimu vya awali mtu yeyote atajiuliza
Ni kweli, lakini kama mtu ana connection Kuna namba ya simu pale.
 
Ndugu Wana Jamii Forum, poleni na majukumu ya kulijenga taifa.

Mimi ni mhitimu wa chuo kikuu Cha Dar es salaam (UDSM) tawi la DUCE, nimehitimu mwaka 2018, ngazi ya degree.

Nimekuja kwenu mnipe connection ya kazi kufundisha masomo ya Fizikia pamoja na Hisabati , either kwa shule yoyote unayoifahamu yenye uhitaji ama kama wewe mhusika wa bandiko hili waweza niunganisha.

Nina uzoefu usiopungua miaka 3 wa kufundisha Fizikia na Hisabati kwa O'level na pia kufundisha Hisabati kwa A' level mwaka mmoja(1).

Kwa maelezo mengine waweza nipata kwa namba hii +255758234994. Napatikana Dar es salaam.

Natanguliza shukrani zenu.
EMPLOYMENT VACANCY
URGENTLY REQUIRED
31 JAN 2022

POSITION: TEACHER (1 Post)
JOB LOCATION: IFAKARA

IFAKARA CATOLIC DIOCESE is looking for ONE MATHEMATICS TEACHER who can also teach Physics Subject.

A candidate with Degree of Bachelor of Education in Science.
Applicants with experience will be more prefered.

Interested candidate should send Application Letter, cv, copy of Academic Certificate and Transcript via Email address of dioceserecruitment@gmail.com or through post address of
GENERAL SECRETARY,
IFAKARA CATOLIC DIOCESE,
P.O.BOX 57.
IFAKARA.

All applicants are Encouraged to apply before 15th Feb 2022.
 
Ndugu Wana Jamii Forum, poleni na majukumu ya kulijenga taifa.

Mimi ni mhitimu wa chuo kikuu Cha Dar es salaam (UDSM) tawi la DUCE, nimehitimu mwaka 2018, ngazi ya degree.

Nimekuja kwenu mnipe connection ya kazi kufundisha masomo ya Fizikia pamoja na Hisabati , either kwa shule yoyote unayoifahamu yenye uhitaji ama kama wewe mhusika wa bandiko hili waweza niunganisha.

Nina uzoefu usiopungua miaka 3 wa kufundisha Fizikia na Hisabati kwa O'level na pia kufundisha Hisabati kwa A' level mwaka mmoja(1).

Kwa maelezo mengine waweza nipata kwa namba hii +255758234994. Napatikana Dar es salaam.

Natanguliza shukrani zenu.
unauzoefu wa miaka 3 kufundisha fizikia na hisabati; cjui itakuwaje kuna mahali walikuwa wanahitaji mwal.mwenye uzoefu wa kufundisha wanafunzi somo la fizikia na hisabati kwa maelezo yako naona wewe huna
 
Kwa interview hii ndogo tayari Kuna tatizo hapo
Yani unashindwaje kuweka
CV kamili hapo kuepuka maswali madogo madogo yasiyo na sababu
Mbona iko clear tu...nini hakionekani hapo?kama mtu unaconection mpe jamaa wakaangalie, je anauwezo kwa kudeliver?
 
unauzoefu wa miaka 3 kufundisha fizikia na hisabati; cjui itakuwaje kuna mahali walikuwa wanahitaji mwal.mwenye uzoefu wa kufundisha wanafunzi somo la fizikia na hisabati kwa maelezo yako naona wewe huna
Una maanisha advance?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom