Utata mtupu!
Siri kuhusu watoto, pesa haijengi kabisa.
Wanaume wengine hawana vifua ukimpa kidogo tu yaliyojiri enzi hizo wanapaniki! ya nini masumbufu! Lakini ni vizuri pia ajue kuwa anaweza kufundishwa vilevile, asijifanye anayajua mambo saana!
Tamaa tu inakusumbua huna lolote! Wanaume wengine bwana mkiheshimiwa mnatamani, msipoheshimiwa maneno, mwataka nini haswa?
Na huyo shemeji shule anaenda saa ngapi? Usiku? Huo muda wa kukuhudumia asubuhi anatoa wapi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.