Lina na Amini wanatuchora!

Lina na Amini wanatuchora!

Toa ww yako yenye mashiko upate maksi mis kesni umeambies jf,kuna mashindano ys mada hii burudani kama vp jiunge na majukwaa malum ukatoe mada zako zenye mashiko huko,,nenda kakutane na watu vichwa usituletee kujua humu,,anzisha mtandao wako uandike hayo mashiko wewe mwenyewe huna mashiko wala mashetani mko humu kuwadharau wenzenu kujifanya kujua mtaungua na jua..
 
Toa ww yako yenye mashiko upate maksi mis kesni umeambies jf,kuna mashindano ys mada hii burudani kama vp jiunge na majukwaa malum ukatoe mada zako zenye mashiko huko,,nenda kakutane na watu vichwa usituletee kujua humu,,anzisha mtandao wako uandike hayo mashiko wewe mwenyewe huna mashiko wala mashetani mko humu kuwadharau wenzenu kujifanya kujua mtaungua na jua..

Punguza Jazba mkuu,kutambua kuwa umekosea ni moja ya Ufaham
 
1239923_567889866600997_1794621314_n.jpg
 
Kwa muda sasa nimekua nikufuatilia kuhusu mahusiano ya wanamuziki Lina na Amini. Kwanza kuna kipindi ilitangazwa kuwa wana mahusiano. Na kwa sie wapembuzi ni kweli tuliliona hilo. Muda si muda tukasikia wametengana. Kila mtu akawa hataki kumzungumzia mwenzake. Lakini ajabu muda si muda akaanza kuimba stejini kwa pamoja. Walipoulizwa je Mmerudiana wanadai hapana tupo kikazi zaidi. Lakini siku za hivi karibuni tumeshuhudia mapozi mbalimbali wanayotuonyesha yanaashiria wapo pamoja na inawezekana hata tunda la mti wa katikati wanashiriki!. Sasa walivyoulizwa wanadai wapo kama wazungu wanashirikiana kikazi zaidi pia ni marafiki lakini si wapenzi!!!. MIMI KWA MTAZAMO WANGU NASEMA HAWA WANACHEZEA TU AKILI ZETU. KIKUBWA NI KWAMBA WANATENGENEZA POPULARITY AU UMAARUFU NA SI ZAIDI kwa ki ukweli ukifuatilia utagundua ni wapenzi kabisa hawa.


Hadithi inatufundisha nini mkuu?
 
Kwa muda sasa nimekua nikufuatilia kuhusu mahusiano ya wanamuziki Lina na Amini. Kwanza kuna kipindi ilitangazwa kuwa wana mahusiano. Na kwa sie wapembuzi ni kweli tuliliona hilo. Muda si muda tukasikia wametengana. Kila mtu akawa hataki kumzungumzia mwenzake. Lakini ajabu muda si muda akaanza kuimba stejini kwa pamoja. Walipoulizwa je Mmerudiana wanadai hapana tupo kikazi zaidi. Lakini siku za hivi karibuni tumeshuhudia mapozi mbalimbali wanayotuonyesha yanaashiria wapo pamoja na inawezekana hata tunda la mti wa katikati wanashiriki!. Sasa walivyoulizwa wanadai wapo kama wazungu wanashirikiana kikazi zaidi pia ni marafiki lakini si wapenzi!!!. MIMI KWA MTAZAMO WANGU NASEMA HAWA WANACHEZEA TU AKILI ZETU. KIKUBWA NI KWAMBA WANATENGENEZA POPULARITY AU UMAARUFU NA SI ZAIDI kwa ki ukweli ukifuatilia utagundua ni wapenzi kabisa hawa.
hivi kwanini huu muda unaotumia kufuatilia maisha ya watu usipige hata punyeto me nadhani ingekusaidia
 
Kwa muda sasa nimekua nikufuatilia kuhusu mahusiano ya wanamuziki Lina na Amini. Kwanza kuna kipindi ilitangazwa kuwa wana mahusiano. Na kwa sie wapembuzi ni kweli tuliliona hilo. Muda si muda tukasikia wametengana. Kila mtu akawa hataki kumzungumzia mwenzake. Lakini ajabu muda si muda akaanza kuimba stejini kwa pamoja. Walipoulizwa je Mmerudiana wanadai hapana tupo kikazi zaidi. Lakini siku za hivi karibuni tumeshuhudia mapozi mbalimbali wanayotuonyesha yanaashiria wapo pamoja na inawezekana hata tunda la mti wa katikati wanashiriki!. Sasa walivyoulizwa wanadai wapo kama wazungu wanashirikiana kikazi zaidi pia ni marafiki lakini si wapenzi!!!. MIMI KWA MTAZAMO WANGU NASEMA HAWA WANACHEZEA TU AKILI ZETU. KIKUBWA NI KWAMBA WANATENGENEZA POPULARITY AU UMAARUFU NA SI ZAIDI kwa ki ukweli ukifuatilia utagundua ni wapenzi kabisa hawa.

Hayatuhusu.sosi Mwanamalundi
 
Last edited by a moderator:
Kwa muda sasa nimekua nikufuatilia kuhusu mahusiano ya wanamuziki Lina na Amini. Kwanza kuna kipindi ilitangazwa kuwa wana mahusiano. Na kwa sie wapembuzi ni kweli tuliliona hilo. Muda si muda tukasikia wametengana. Kila mtu akawa hataki kumzungumzia mwenzake. Lakini ajabu muda si muda akaanza kuimba stejini kwa pamoja. Walipoulizwa je Mmerudiana wanadai hapana tupo kikazi zaidi. Lakini siku za hivi karibuni tumeshuhudia mapozi mbalimbali wanayotuonyesha yanaashiria wapo pamoja na inawezekana hata tunda la mti wa katikati wanashiriki!. Sasa walivyoulizwa wanadai wapo kama wazungu wanashirikiana kikazi zaidi pia ni marafiki lakini si wapenzi!!!. MIMI KWA MTAZAMO WANGU NASEMA HAWA WANACHEZEA TU AKILI ZETU. KIKUBWA NI KWAMBA WANATENGENEZA POPULARITY AU UMAARUFU NA SI ZAIDI kwa ki ukweli ukifuatilia utagundua ni wapenzi kabisa hawa.

Hayatuhusu.sosi Mwanamalundi
 
Last edited by a moderator:
Crazy,wanatafuta umaarufu???????Kwa nani??????Wewe huwajui??????Hujui kama hao ni watu maarufu???????Waliupaje umaarufu wao?????Kwa sababu ya mapenzi ama kwa sababu ya kazi yao???????
 
Kwa muda sasa nimekua nikufuatilia kuhusu mahusiano ya wanamuziki Lina na Amini. Kwanza kuna kipindi ilitangazwa kuwa wana mahusiano. Na kwa sie wapembuzi ni kweli tuliliona hilo. Muda si muda tukasikia wametengana. Kila mtu akawa hataki kumzungumzia mwenzake. Lakini ajabu muda si muda akaanza kuimba stejini kwa pamoja. Walipoulizwa je Mmerudiana wanadai hapana tupo kikazi zaidi. Lakini siku za hivi karibuni tumeshuhudia mapozi mbalimbali wanayotuonyesha yanaashiria wapo pamoja na inawezekana hata tunda la mti wa katikati wanashiriki!. Sasa walivyoulizwa wanadai wapo kama wazungu wanashirikiana kikazi zaidi pia ni marafiki lakini si wapenzi!!!. MIMI KWA MTAZAMO WANGU NASEMA HAWA WANACHEZEA TU AKILI ZETU. KIKUBWA NI KWAMBA WANATENGENEZA POPULARITY AU UMAARUFU NA SI ZAIDI kwa ki ukweli ukifuatilia utagundua ni wapenzi kabisa hawa.

Shit!!!Napita hawaniletei ugali mezani nyumbani kwangu.
 
Haya,
a) Ni wapenzi kweli na wanapitia milima na mabonde ya mahusiano...Ni vizuri kwa sababu maisha si mteremko kila mara
b) Walikuwa wapenzi na sasa wana uhusiano wa kikazi. Ni vizuri pia kwa sababu kufeli kwa uhusiano wao haimaanishi kufeli kwa mahusiano ya kikazi

Be it a or b, i fail to see how that affects your life, unless wewe ni mtoto wao?

Sometimes unaweza kuwaza kuwa jukwaa limevamiwa . . . ila tena unamkosa aliyelivamia!
 
Kwa muda sasa nimekua nikufuatilia kuhusu mahusiano ya wanamuziki Lina na Amini. Kwanza kuna kipindi ilitangazwa kuwa wana mahusiano. Na kwa sie wapembuzi ni kweli tuliliona hilo. Muda si muda tukasikia wametengana. Kila mtu akawa hataki kumzungumzia mwenzake. Lakini ajabu muda si muda akaanza kuimba stejini kwa pamoja. Walipoulizwa je Mmerudiana wanadai hapana tupo kikazi zaidi. Lakini siku za hivi karibuni tumeshuhudia mapozi mbalimbali wanayotuonyesha yanaashiria wapo pamoja na inawezekana hata tunda la mti wa katikati wanashiriki!. Sasa walivyoulizwa wanadai wapo kama wazungu wanashirikiana kikazi zaidi pia ni marafiki lakini si wapenzi!!!. MIMI KWA MTAZAMO WANGU NASEMA HAWA WANACHEZEA TU AKILI ZETU. KIKUBWA NI KWAMBA WANATENGENEZA POPULARITY AU UMAARUFU NA SI ZAIDI kwa ki ukweli ukifuatilia utagundua ni wapenzi kabisa hawa.

hapo kwenye bold.
useme wanasumbua akili yako, sio akili zetu. wanasumbua akili zenu na nani?
 
Kwa muda sasa nimekua nikufuatilia kuhusu mahusiano ya wanamuziki Lina na Amini. Kwanza kuna kipindi ilitangazwa kuwa wana mahusiano. Na kwa sie wapembuzi ni kweli tuliliona hilo. Muda si muda tukasikia wametengana. Kila mtu akawa hataki kumzungumzia mwenzake. Lakini ajabu muda si muda akaanza kuimba stejini kwa pamoja. Walipoulizwa je Mmerudiana wanadai hapana tupo kikazi zaidi. Lakini siku za hivi karibuni tumeshuhudia mapozi mbalimbali wanayotuonyesha yanaashiria wapo pamoja na inawezekana hata tunda la mti wa katikati wanashiriki!. Sasa walivyoulizwa wanadai wapo kama wazungu wanashirikiana kikazi zaidi pia ni marafiki lakini si wapenzi!!!. MIMI KWA MTAZAMO WANGU NASEMA HAWA WANACHEZEA TU AKILI ZETU. KIKUBWA NI KWAMBA WANATENGENEZA POPULARITY AU UMAARUFU NA SI ZAIDI kwa ki ukweli ukifuatilia utagundua ni wapenzi kabisa hawa.

Ona sasa ulivyo pata aibu. Kama huna cha kuandika tulia kimya. Ukome kufuatilia maisha ya watu. Karibu wachangiaji wote wametoa negative comments. Usipende kufuatilia maisha ya watu. Unawalisha wewe?

 
Back
Top Bottom