wewe unaesema "chafuchafu" huna hata akili n kama vle mtu asiekua na muono wa mbali, kila nchi katika dunia hii inayo wagen wa kutoka sehem mbali mbali mfano; kile kisiwa cha lampedusa kule Italy kinapokea wahamiaji kila cku na wanapewa hifadh hawachomwi moto wala hawauliwi, zipo taratibu za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.