Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 21,854
- 26,094
MAKAMPUNI YA SIMU KUZIMA HUDUMA ZA DATA 24/10------26/10
JE HILI TUNALICHUKULIAJE WATANZANIA?
ii
JE HILI TUNALICHUKULIAJE WATANZANIA?
ii
Hata jina la Magufuli linatajwa sana Kuwait kwa mzee Saddam... Hapo Kenya jina la Lowassa linatajwa sana na lipo midomoni mwa wakenya utadhani ni raia wao. ...
. T/shirt ya M4C leo hii nimeinunua katika mji wa Lusaka Zambia na zilikua zinagombaniwa kama mwali.Umaarufu wa Lowassa hautii shaka kimataifa. Vyombo mbalimbali vya habari vya kimataifa vinamzungumzia sana. Tuache huko.. Hata nchi za jirani nako vyombo vyao vya habari Lowasa ameteka pia huko kuanzia habari zao hadi makala.
Hapo Kenya jina la Lowassa linatajwa sana na lipo midomoni mwa wakenya utadhani ni raia wao. Mitaa ya Nairobi, Kisumu, Eldoret, Mombasa na kwingineko jina ni Lowassa.
Jamaa anajulikana sana kimataifa na pia ana uelewa mkubwa sana juu ya masuala ya kimataifa na anazungumza kiingereza safi kupindukia. Hapa tumepata jembe.
![]()
Wakati mwingine muwe na huruma na mbavu za watu!Hata jina la Magufuli linatajwa sana Kuwait kwa mzee Saddam
Hata jina la Magufuli linatajwa sana Kuwait kwa mzee Saddam
Wakati mwingine muwe na huruma na mbavu za watu!
Umaarufu wa Lowassa hautii shaka kimataifa. Vyombo mbalimbali vya habari vya kimataifa vinamzungumzia sana. Tuache huko.. Hata nchi za jirani nako vyombo vyao vya habari Lowasa ameteka pia huko kuanzia habari zao hadi makala.
Hapo Kenya jina la Lowassa linatajwa sana na lipo midomoni mwa wakenya utadhani ni raia wao. Mitaa ya Nairobi, Kisumu, Eldoret, Mombasa na kwingineko jina ni Lowassa.
Jamaa anajulikana sana kimataifa na pia ana uelewa mkubwa sana juu ya masuala ya kimataifa na anazungumza kiingereza safi kupindukia. Hapa tumepata jembe.
![]()
Hatuhangaiki nao hakuna wapiga kura wetu huko Nairobi wala huyo kenyata sio mpiga kura wetu magufuli anatosha