Yamenishinda naweza nikaua mtu bure

Yamenishinda naweza nikaua mtu bure

ukimpata alio sahihi kwako utasahau maumivu kama hayo.. vuta subira utapata alowako
 
Acha tu now nidili na kuzidi kujiongezea kipato changu mapenzi sasa basi inatosha sasa naweza nikaua mtu familia yangu ikapata tabu
mtu unampa kila kitu,unamsaidia kila kitu mwisho wa siku yeye anakupa maamivu tu ndo zawadi yako wenzangu endeleeni nayo mimi sasa basi[/QUOTE

Everything has been arranged, so pole ma man.
 
Haaa mfundishe tu ataelewa hii ndio aaa aaa ina mkia mfupi aaaa na yeye aseme ataweza tu bana
Kwanza nikupe pole mkuu...
ila swal la mapenz nakushaur utulie sana unapotafuta mtu...hawa dada zetu weng cku hiz hawajielewiiiiiii...
 
Acha tu now nidili na kuzidi kujiongezea kipato changu mapenzi sasa basi inatosha sasa naweza nikaua mtu familia yangu ikapata tabu
mtu unampa kila kitu,unamsaidia kila kitu mwisho wa siku yeye anakupa maamivu tu ndo zawadi yako wenzangu endeleeni nayo mimi sasa basi

Wewe nahisi hata barabarani utakua unaongea peke yako kuhusu hii issue yako, inaelekea imekuumiza sana. Ndio ukubwa huo, kama vipi uwe unanunua tu hazinaga stress, ila ukumbuke kuvaa!
 
wewe kama huna hela bora ukazane kuzitafuta tu vingine waachie wenye nazo subiri wakati wako sio kulia lia.
 
usiogope, wanaojifanya kupenda sanaa ndiyo huumizwa maskini, daah Bhaaasi nenda mdogomdogo,
Tafuta Punga utawapata wote unaowataka.
 
pole sana ila utarudii tuu maana hakuna namna nyingine
 
Back
Top Bottom