Recent content by bill kin

  1. bill kin

    Tamko: CHADEMA wayakataa matokeo ya Uchaguzi wa Marudio.

    Sijaelewe kabisa. Hawa askali tunawavisha, tunawapa vifaa na tunawalipa kwakodi zetu halafu wanaua raia wema!??! Sijaelewa kabisa
  2. bill kin

    Lissu: Hakuna upelelezi unaoendelea kuhusu shambulio dhidi yangu; Ndugai adai vurugu zilimzuia kwenda Nairobi

    Tundu Lisa kutibiwa na serikali ni haki kisheria sio hisani. Serikali kuudumia wananchi katika huduma za kijamii ni haki. Uelewe serikali haifanyi biashara zaidi ya kodi zetu
  3. bill kin

    BBC: Tanzania imezuia uzinduzi wa ripoti ya Human Rights Watch

    Swala sio ukweli. Kila kitu serikali inajua na inafangia kazi swala kama ni tafiti kwa nini haikufuata taratibu inayotakiwa? Huwezi ingia nchi ya watu na kufanya utafiti bila kuhusisha taasisi zinazohusika na tafiti. Je unajua mtafiti anaelimu gani? Je njia anayotumia inaweza toa jibu sahihi ya...
  4. bill kin

    BBC: Tanzania imezuia uzinduzi wa ripoti ya Human Rights Watch

    Katika kila nchi kuna utaratibu wa kufanya utafiti, na katika nchi yetu mtafiti mgeni anabidi awakilishe proposal, kujanza fomu na CV yake ili kujua uwezo wa mtafiti na kujua kama njia anayotumia inaweza toa majibu sahihi ya tatizo analochunguza. Pia mtafiti anabidi kushirikiana na taasisi ya...
  5. bill kin

    Tetesi: Tetesi Za Rais Magufuli kupata tuzo zakimataifa zachafuliwa na team X

    Watanzania tujiangalie pengine tunaweza kuwa wa kwanza kwa ujinga. Uzi gani unaleta hapa Sent using Jamii Forums mobile app
  6. bill kin

    Mafuta mazuri ya wanaume

    Biashara nzuri ni boxer sio hayo mafuta. Niletee boxer tano Sent using Jamii Forums mobile app
  7. bill kin

    Kwa wenye mademu wahenga zaid ya Ommy Dimpoz tukutane hapa

    Wahenga walishakufa wamebaki mababe tu Sent using Jamii Forums mobile app
  8. bill kin

    Uzi maalum wa wanaJF ambao tuna imani kubwa na ushindi wa North Korea

    USA hawezi pigana na nchi inapakana. Na hii sababu Marekani inasita kila wakati. NK analega kupiga mji mmoja Marekani na vita vitaisha. Pili NK na nchi za Asia zina uzarendo sana kuliko USA hadi kukubali kufa kwa nchi yao. Nahisi hakutakuwa na vita
  9. bill kin

    Meditation ngumu kuliko zote ni ile ya kifo

    Hivi hapa Dar wapi wanafanya mazoezi ya meditation? Nilifanya hayo.kupitia yoga ila nimeachamuda sana.
  10. bill kin

    Walaji wa Kambale Dar es Salaam poleni

    Tatizo kwenye taka kuna heavy metals ambayo yanaweza kusababisha kansa.
  11. bill kin

    Maneno Machache Ujumbe Mzito: Kukataliwa Treni la Lowassa Kwaja, Abiria Wajiandae

    Wala sikuelewi kabisa! Unajifanya unajua siasa ya tanzania wakati hujui! Demokrasia ya vyama vingi haina miaka 50. Kabla ya hapo tulikuwa na mfumo mwingine. Nenda shule
  12. bill kin

    Hili ni jaribio jingine kwa System/state au Kitengo!

    Huna ukweli wa jambo hilo unaliongelea kuhusu system. Eti system iko juu sawa na Mungu. Angalia FBI wafanyakazi wake huwa wanashitakiwa.
  13. bill kin

    Hili ni jaribio jingine kwa System/state au Kitengo!

    Je system inaweza ingiliza uhuru wa wananchi kuchagua mtu wampendao? Sizani ni kazi ya system
  14. bill kin

    Halima Mdee amkana Mkono

    Kwani anaumwa nini sasa?
Back
Top Bottom