Halima Mdee amkana Mkono

Halima Mdee amkana Mkono

Halimamdee kaeleeza magazetinileo akuna alielishwa sumu...akaeleza walipofika huko hata kabla ajala chochote h Ali ilikuwa tata akaaja Dk akaumuuliza Dk wa nkono anaumwa nini...dk wa mb akamwambia anaitaji dawa Fulani akinywa inakuwa haliyake poa...akauliza kama alilishwa sumu iweje Dk wake aseme MPE dawafudenge??gafla yukosawa

Akaomba nkono aeleze ukweli anaumwa niini badala ya kusingizia amelishwa sumu

Patamu

Kwako NN.tupe

Inaonekana ni story nzuri..
Lakini nimejaribu kuisoma kwa kuirudia rudia sana..ila dah..
Sijaelewa kabisa.
 
thread hii unatakiwa uwe mtumiaji wa uji wa ulezi kuielewa khaaaah.....
 
huyu ndiye Pdidy .... kitambo sana JF na ana ushawishi mkubwa sana

hutaki unaacha
 
Last edited by a moderator:
unajua hivi vizee havitaki kungatuka mpk viabishwe! Vimejichotea mahela tangu enzi za Uhuru lakini havitosheki!
Wacha kipewe sumu hakina effect yoyote ajuza! Hata kutembea kinapepesuka!
Kipeni sumu kirest in pc nyambaaf zake! Ulafi tuu!

Hahahahaha, nimecheka sana aisee
 
Mkono na Chenge wana tofauti ndogo sana

Mkuu Janjaweed hawa wote hawana tofauti hata kidogo wote wanatumia kalamu yao na connection walizonazo kufisadi taasisi mbali mbali,sema huenda kama kuna tofauti ni kuwa mmoja ana kampuni ya uwakili ya kupiga dili na mwingine ametumia iliyokuwa ofisi yake kupiga dili na kujijengea mtandao wake wa upigaji dili kwa kutumia elimu yake na madaraka yake ndio maana utamkuta huko CCM ni mkuu wa kamati ya maadili,bungeni mwenyekiti kamati ya fedha,na pia alikuwa mwenyekiti wa kamati ya uandishi BMK,AMBAKO ALIVITOA VIFUNGU VYA UFISADI,huyu jumaaa anajua kujipanga ni kama Messi,pia ikumbukwe mikataba yote mibovu ilitiwa saini akiwa yeye ndie mwanasheria wa serikali.Mkono pia alikuwa wakili wa BOT nako alikomba mahela kibao hadi akawa mmoja wa wamiliki wa benki iitwayo M Bank.
 
mateso ya mwenye haki ni mengi lakini Mungu humponya

endelea kusubiri Mungu yuko njiani kuwaponya na mwandiko wa p2the dIDY
 
Kwenye ile list of shame ya Dr. Slaa jina la huyu jamaa nakumbuka kama lipo vile? anyway, Mkono rudi bungeni mkajadiri hiyo issue ya IPTL; kama sikosei pia ZZK ni mshirika kibiashara na huyu mzee vile vile, i am trying to connect some dots here.
 
Katapeli billioni 68....anatudanganya kalishwa sumu.
 
mkono naye haaminiki tena. inawezekana alikosa mgao wa escrow ndo maana akaamua kufichua scandal hiyo. kuhusu kulishwa sumu mkono anataka huruma ya wananchi wa jimboni kwake ili wamrudishe tena. namwambia kuwa kama alishiliki kuchakachua katiba ajue kuwa harudi tena bungeni lazima apigwe chini.
 
Back
Top Bottom