Walaji wa Kambale Dar es Salaam poleni

Walaji wa Kambale Dar es Salaam poleni

Na kuna baba angu mmoja aliwahi niambia wanaokula huwa na umbo refu kwa waume sababu samaki wana madini mengi zink{angalieni wanaokula hawa samaki , kambale}
 
Aaaah aaaah. Basi hata ebhibhambala na ebhise utakuwa unavijua mkuu.
teh teh teh

Mkuu mpaka makayabo najua namna ya kuyatengeneza aisee.

Majulijuli unayajua aiseee wengine wanaita vijuli juli??

Kuna wale wanaitwa matusi ya mwanza, wale ambao miaka ya 90 waliua sana watu kwa miiba yao unasa kooni ushawala??

Aisee maisha ya ziwani matamu sana
 
teh teh teh

Mkuu mpaka makayabo najua namna ya kuyatengeneza aisee.

Majulijuli unayajua aiseee wengine wanaita vijuli juli??

Kuna wale wanaitwa matusi ya mwanza, wale ambao miaka ya 90 waliua sana watu kwa miiba yao unasa kooni ushawala??

Aisee maisha ya ziwani matamu sana
Nawajua wote mkuu. Nimekaa sana kanda hiyo. Haya niambie kama unawajua samaki aina ya mbete, soga, mbinga, njegele na imamba.
 
Tatizo kwenye taka kuna heavy metals ambayo yanaweza kusababisha kansa.
 
Kama anaiva vizuri na anatengenezeka Rosti Hanna noma
 
Hivi hawa kambale ndio huku kanda ya ziwa wanaitwa mumi??
Mumi ni tofauti na hawa kambale. Hata kanda ya ziwa Kambale wapo mitoni kwenye tope na kwenye mabwaya ya vinyesi. Wale Mumi was ziwani ni tofauti
 
huu uzi japo unazungumzia afya lakini umenichekesha sana kwa majibu yanayotolewa humu
 
aargh! lazima atakuwa na kinyesi fresh alichokula siku hiyo. kupindupindu, typhoid nk. huku Mbeya tunakula wasafi kutoka bonde la usangu. ukiwapata wabichi na kuwakaanga na ugali!
 
Hawa kambale watakuwa wana ongeza nguvu za kiume. Mana hivyo virutubisho sio vyaki Toto.
 
Yaani kambale umpate na tui bubu la nazi, nyanya chungu, bamia....hoho na karoti afu umkamulie na kandimu kidogo, tafadhali bhana, pembeni sima ya bada.....mchana wako lazima uwe murua.
Kambale watamu sana maana unakula mpaka miba na kichwa chake.
Ni chura hao.
 
Hawa wanavuliwa kwenye maji ya mavi... Mabibo na msasani... Niliapa sitakula kambale bongo.. Tena wa mabibo ni wakubwa kinoma

Ni kama wale wa pale linakoishia bomba la maji taka kule baharini
 
Kambale ni samaki mtamu Sana na mwenye minofu yakutosha tuu.. Lakini kwa wapenzi wa kambale hapa bongo poleni kwa kulishwa kambale wanaovuliwa kwenye maji taka ya Mabibo, msasani na kwingineko....


Mkuu, unaongelea kambale, na wale walaji wa mboga za majani Dar es Salaam umewafikiria? Unafikiri maji yanayomwagilia mchicha na Chinese cabbage unazopenda sana yanatoka wapi?

Jaribu kuzinusa hizo mboga kwa makini pale mama anapozileta nyumbani utaipata habari yake.
 
Yaani kambale umpate na tui bubu la nazi, nyanya chungu, bamia....hoho na karoti afu umkamulie na kandimu kidogo, tafadhali bhana, pembeni sima ya bada.....mchana wako lazima uwe murua.
Kambale watamu sana maana unakula mpaka miba na kichwa chake.
Daah yaani kuanzia sasa hamu imeniisha kwako Madame.
 
Back
Top Bottom