Tamko: CHADEMA wayakataa matokeo ya Uchaguzi wa Marudio.

Pamoja na ukiukwaji mkubwa wa sheria za uchaguzi zilizoonekana wazi na CCM kujipa ushindi wa wizi na kumwaga damu za wasiostahili hongera sana Salum Mwalimu umedhibitisha kukubalika kwa wanakinondoni, naamini kabisa pasi na shaka wewe ndie mbunge halali japo mashetani yamegeuza matokeo...
 
CHADEMA bana!

Ninakumbuka ‘’mkwala ‘’ waliopiga CHADEMA siku ambayo walitangaza kuingia kwenye uchaguzi wa majimbo ya Kinondoni na Siha.

Walituambia kuwa kwa sasa hawataki tena kulalamika na watahakikisha kinaeleweka katika Uchaguzi huu.

Ni kweli kimeeleweka kuwa, viongozi wa sasa wa CHADEMA ni mabingwa wa ‘’mikwala mbuzi’’ .

Nilishangaa sana jinsi viongozi wakuu wa CHADEMA walivyoyeyuka juzi katika bonde la mto Mkwajuni baada ya kukumbana na mkono wa vyombo vya dola wakati wakiandamana bila kibali kuelekea kwenye ofisi ya msimamizi wa uchaguzi Jimbo la Kinondoni!

Mbowe na viongozi wenzake wakuu waliyeyuka kiajabu na kuwaacha kama kafara wafuasi wao katika mikono ya vyombo vya ulinzi.

Jiulize, Mbowe na viongozi wenzake walikuwa mbele ya msafara katika maandamano lakini cha ajabu hawakupata hata moshi au vumbi la bomu la machozi!

Siwezi kushangaa tena wakija na ‘’mkwala mbuzi’’ mwingine ili tu waendelee kuwaaminisha wajinga kuwa wao ni ‘’makamanda’’ kweli kweli.
Kwa mbali naona point yako, japo ni chungu
 
uchaguzi umekwisha kwa sasa hakuna tena kupoteza muda tuchape kazi ili tujiletee maendeleo.
 
Si wakubali tu yaishe. Haina haja ya kung'amg'ania kama wananchi wamewakataa

Kwasasa chadema haina mvuto tena. Inasubiri huruma za wananchi ili ishinde.

Pia napenda kuwapongeza wakazi wa kinondoni kwa kuongeza wabunge wa ndio bungeni. Safi sana wana kinondon
 
DWRnoFFWsAAIU3m.jpg
Huu ndio uamuzi mgumu aliosema Lema na kudai taifa lijiandae??
Waliposusia na kurudi tena walimaanisha nini??


ASANTENI KWA KUJA.
 
CDm tuongozeni tuingie mtaami....mbona zitto katoa wazo hilo tangu jana
Aliwaongoza Dr.Mihogo kuingia mtaani hadi akavunjika mkono bado mkaja kumuita msaliti,leo unamzungumzia nani mwenye uwezo huo wa kukuongoza mtaani,mbowe,mashinji,Lema ambaye kwa sasa mguu ndani mguu nje??Lissu??kwanza lissu sio mtu wa kuandamana ni mtu wa kwenda mwenyewe yeye kama yeye
 
CHADEMA bana!

Ninakumbuka ‘’mkwala ‘’ waliopiga CHADEMA siku ambayo walitangaza kuingia kwenye uchaguzi wa majimbo ya Kinondoni na Siha.

Walituambia kuwa kwa sasa hawataki tena kulalamika na watahakikisha kinaeleweka katika Uchaguzi huu.

Ni kweli kimeeleweka kuwa, viongozi wa sasa wa CHADEMA ni mabingwa wa ‘’mikwala mbuzi’’ .

Nilishangaa sana jinsi viongozi wakuu wa CHADEMA walivyoyeyuka juzi katika bonde la mto Mkwajuni baada ya kukumbana na mkono wa vyombo vya dola wakati wakiandamana bila kibali kuelekea kwenye ofisi ya msimamizi wa uchaguzi Jimbo la Kinondoni!

Mbowe na viongozi wenzake wakuu waliyeyuka kiajabu na kuwaacha kama kafara wafuasi wao katika mikono ya vyombo vya ulinzi.

Jiulize, Mbowe na viongozi wenzake walikuwa mbele ya msafara katika maandamano lakini cha ajabu hawakupata hata moshi au vumbi la bomu la machozi!

Siwezi kushangaa tena wakija na ‘’mkwala mbuzi’’ mwingine ili tu waendelee kuwaaminisha wajinga kuwa wao ni ‘’makamanda’’ kweli kweli.

Una ugonjwa wa akili sawa na sisonje
 
Hata mkikataaa kikao kijacho cha bunge mtawashuhudia wakiapishwa, mnapoteza muda! Mlitegemea kushinda?
 
CHADEMA bana!

Ninakumbuka ‘’mkwala ‘’ waliopiga CHADEMA siku ambayo walitangaza kuingia kwenye uchaguzi wa majimbo ya Kinondoni na Siha.

Walituambia kuwa kwa sasa hawataki tena kulalamika na watahakikisha kinaeleweka katika Uchaguzi huu.

Ni kweli kimeeleweka kuwa, viongozi wa sasa wa CHADEMA ni mabingwa wa ‘’mikwala mbuzi’’ .

Nilishangaa sana jinsi viongozi wakuu wa CHADEMA walivyoyeyuka juzi katika bonde la mto Mkwajuni baada ya kukumbana na mkono wa vyombo vya dola wakati wakiandamana bila kibali kuelekea kwenye ofisi ya msimamizi wa uchaguzi Jimbo la Kinondoni!

Mbowe na viongozi wenzake wakuu waliyeyuka kiajabu na kuwaacha kama kafara wafuasi wao katika mikono ya vyombo vya ulinzi.

Jiulize, Mbowe na viongozi wenzake walikuwa mbele ya msafara katika maandamano lakini cha ajabu hawakupata hata moshi au vumbi la bomu la machozi!

Siwezi kushangaa tena wakija na ‘’mkwala mbuzi’’ mwingine ili tu waendelee kuwaaminisha wajinga kuwa wao ni ‘’makamanda’’ kweli kweli.
Shangilia uovu kuna siku utawafika wenyewe.
 
Sijaelewe kabisa. Hawa askali tunawavisha, tunawapa vifaa na tunawalipa kwakodi zetu halafu wanaua raia wema!??! Sijaelewa kabisa
 
Back
Top Bottom