Hili ni jaribio jingine kwa System/state au Kitengo!

Hili ni jaribio jingine kwa System/state au Kitengo!

Nadhani hujui kutofautisha kazi ya system na vyama vya siasa !!! System za nchi nyingine hufanya kazi zake kiutaaalamu na sio kisiasa nyie system ni ccm !!! POOR YOU[/QUOTE)



Eti system ni Alfa na Omega mara ilisha Anticipate!!!! Ndg wenye nchi wakiamua hata hyo system unayoisema haina hiyo ALFA wala huo UMEGA hv ni nchi ngap zilikuwa na system tena imara kuliko hata hii ya CCM na leo zilidondoshwa ? Achen kutuhadaa watz kwa propaganda na vitisho vya kitoto. Watanzania ambao ndio wenye nchi wameshaamua kubadili mfumo wa utawala y system ya CCM? Kwa malengo ya Nani?

wamechanganyikiwa baada ya kuona vibarua vyao ndio vinaishia hivo. hawaoni mbele giza ndio maana wanakuja na imaginary things ambavyo havipo Tanganyika.

system ya nchi hii tunaifahamu na ujinga wao ndio maana walimtuma mtu anayefahamika kwenda kumuua ulimboka akitumia simu iliyosajiliwa kwa majina yake.
hivi umeshafikiria ni wangapi watapoteza vibarua vyao ukawa wakichukua nchi??
imagine wakuu wa wilaya, mikoa, makatibu wakuu, wakurugenzi na washenzi wengine wengi!!
ni lazima wapanic waje na vitisho?
 
Kweli wewe ni system au SYSTEM NDIYO NANI?

Huleti hoja yenye majadiriano ya mlingano unakuwa kama unatishia ipo system tafsiri nyangu mfumo.

Mfumo ulishatafunwa na panya wa system CCM

Yanapozungumziwa mabadiliko maana yake "system" imeshindwa

Kwa sasa mioyoni mwa baadhi yetu tunataka hata hiyo inayoitwa system itokomee

Wewe kwenye jamvi hili ni veteran lakini kwa bandiko hili umejitenga na baadhi yetu na kujiunga na wamiliki wa CCM wenye ukwasi wa kuiweka system mfukoni.

Tuna kawimbo ketu ka utotoni tulipokuwa tunaishi kwenye mbavu za mbwa "KIBANDA BOMOKA TULALE NJE". Wimbo ulibeba maudhui kuwa kibanda kikibomoka labda wazazi na ndugu watajenga kibabda mbadal.

Kwa sasa kunahitajika mbadala wa kila kitu. Na wewe badirika kama mimi.
TUNA HAMU NA SYSTEM MBADALA SIYO HII YAKICHOVU

Mkuu mbona sijatishia yoyote...labda wewe tu ndio uliyetishika!

Mabadiliko kamwe sio ishara ya system kushindwa ...kwani kuna mabadiliko mangapi yaliyotokea nchini?


System haiwezi kutokomea kamwe...labda kama unataka wewe na watanzania watokemee!

Mimi ni mtu mdogo sana hapa jamvini ...wako ambao ni maveterani mkuu!wewe ndiye unataka nijitenge na wanajamvi lakini haitawezekana kwani wanajamvi ni Great thinkers!

UNAKOSEA SANA KUSEMA SYSTEM NI YA KICHOVU..NAAMINI UTATAMBUA TU KUWA SYSTEM HUWA HAICHOKI!!

#Heshimakwakitengo
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Kweli wewe ni system au SYSTEM NDIYO NANI?

Huleti hoja yenye majadiriano ya mlingano unakuwa kama unatishia ipo system tafsiri nyangu mfumo.

Mfumo ulishatafunwa na panya wa system CCM

Yanapozungumziwa mabadiliko maana yake "system" imeshindwa

Kwa sasa mioyoni mwa baadhi yetu tunataka hata hiyo inayoitwa system itokomee

Wewe kwenye jamvi hili ni veteran lakini kwa bandiko hili umejitenga na baadhi yetu na kujiunga na wamiliki wa CCM wenye ukwasi wa kuiweka system mfukoni.

Tuna kawimbo ketu ka utotoni tulipokuwa tunaishi kwenye mbavu za mbwa "KIBANDA BOMOKA TULALE NJE". Wimbo ulibeba maudhui kuwa kibanda kikibomoka labda wazazi na ndugu watajenga kibabda mbadal.

Kwa sasa kunahitajika mbadala wa kila kitu. Na wewe badirika kama mimi.
TUNA HAMU NA SYSTEM MBADALA SIYO HII YAKICHOVU

Mkuu mbona sijatishia yoyote...labda wewe tu ndio uliyetishika!

Mabadiliko kamwe sio ishara ya system kushindwa ...kwani kuna mabadiliko mangapi yaliyotokea nchini?


System haiwezi kutokomea kamwe...labda kama unataka wewe na watanzania watokemee!

Mimi ni mtu mdogo sana hapa jamvini ...wako ambao ni maveterani mkuu!wewe ndiye unataka nijitenge na wanajamvi lakini haitawezekana kwani wanajamvi ni Great thinkers!

UNAKOSEA SANA KUSEMA SYSTEM NI YA KICHOVU..NAAMINI UTATAMBUA TU KUWA SYSTEM HUWA HAICHOKI!!

#Heshimakwakitengo
 
Nadhani hujui kutofautisha kazi ya system na vyama vya siasa !!! System za nchi nyingine hufanya kazi zake kiutaaalamu na sio kisiasa nyie system ni ccm !!! POOR YOU

Usinihusishe na system mkubwa!

Kwa nini hukubali utaalamu wa kufanya kazi kw system ya kitanzania ?
 
Mkuu mbona sijatishia yoyote...labda wewe tu ndio uliyetishika!

Mabadiliko kamwe sio ishara ya system kushindwa ...kwani kuna mabadiliko mangapi yaliyotokea nchini?


System haiwezi kutokomea kamwe...labda kama unataka wewe na watanzania watokemee!

Mimi ni mtu mdogo sana hapa jamvini ...wako ambao ni maveterani mkuu!wewe ndiye unataka nijitenge na wanajamvi lakini haitawezekana kwani wanajamvi ni Great thinkers!

UNAKOSEA SANA KUSEMA SYSTEM NI YA KICHOVU..NAAMINI UTATAMBUA TU KUWA SYSTEM HUWA HAICHOKI!!

#Heshimakwakitengo
Ningekujibu kwa undani kuhusu system unayotaka kutuaminisha lakini nakusale.

System yako unayotuaminisha ni chaka kavu inangoja cheche igalambulike. Nimesema system yako ni chovu kwa sababu kila kitu kinachotokea kisiasa, kiuchumi na kimaendeleo ni miscalculation za system yako.

Unajua kama ninavyojua kuwa msimamizi mkuu wa hii system hana sifa yo yote ya kuwa msimamizi wa system ndiyo maana inamporomokea mikononi mwake hajui wala hajali.

Kama uko karibu na hiyo system waambie kabisa wasijaribu kuingilia cho chote kinachoendelea watavunja mwiko wa kusurvive ndani ya system. Kwa maana hakuna mwenye uwezo wa kuhili kinachotokea
 
Mbona mnapigana mikwala tu hapa. CCM itaendelea kuwaongoza miaka mingi kutokana na kuchambua hali ya siasa kupitia mitandaoni.
 
Mkuu mbona sijatishia yoyote...labda wewe tu ndio uliyetishika!

Mabadiliko kamwe sio ishara ya system kushindwa ...kwani kuna mabadiliko mangapi yaliyotokea nchini?


System haiwezi kutokomea kamwe...labda kama unataka wewe na watanzania watokemee!

Mimi ni mtu mdogo sana hapa jamvini ...wako ambao ni maveterani mkuu!wewe ndiye unataka nijitenge na wanajamvi lakini haitawezekana kwani wanajamvi ni Great thinkers!

UNAKOSEA SANA KUSEMA SYSTEM NI YA KICHOVU..NAAMINI UTATAMBUA TU KUWA SYSTEM HUWA HAICHOKI!!

#Heshimakwakitengo
Ningekujibu kwa undani kuhusu system unayotaka kutuaminisha lakini nakusale.

System yako unayotuaminisha ni chaka kavu inangoja cheche igalambulike. Nimesema system yako ni chovu kwa sababu kila kitu kinachotokea kisiasa, kiuchumi na kimaendeleo ni miscalculation za system yako.

Unajua kama ninavyojua kuwa msimamizi mkuu wa hii system hana sifa yo yote ya kuwa msimamizi wa system ndiyo maana inamporomokea mikononi mwake hajui wala hajali.

Kama uko karibu na hiyo system waambie kabisa wasijaribu kuingilia cho chote kinachoendelea watavunja mwiko wa kusurvive ndani ya system. Kwa maana hakuna mwenye uwezo wa kuhili kinachotokea
 
Ningekujibu kwa undani kuhusu system unayotaka kutuaminisha lakini nakusale.

System yako unayotuaminisha ni chaka kavu inangoja cheche igalambulike. Nimesema system yako ni chovu kwa sababu kila kitu kinachotokea kisiasa, kiuchumi na kimaendeleo ni miscalculation za system yako.

Unajua kama ninavyojua kuwa msimamizi mkuu wa hii system hana sifa yo yote ya kuwa msimamizi wa system ndiyo maana inamporomokea mikononi mwake hajui wala hajali.

Kama uko karibu na hiyo system waambie kabisa wasijaribu kuingilia cho chote kinachoendelea watavunja mwiko wa kusurvive ndani ya system. Kwa maana hakuna mwenye uwezo wa kuhili kinachotokea

Ningeendelea kukuelimisha kuhusu system lakini sipendi kwa kuwa sijui sana..!

Napenda kukuaminisha kuwa yote yanayotokea ni kwa mujibu na uratibu na utaratibu wa system!

Napenda kukanusha kuwa system inaporomoka!
Huyo unayemuhisi kuwa ni msimamizi wa system...siye!yeye ni msimamiwa wa system tu ...na sasa system itamuweka msimamiwa mwingine!

Sina uwezo wa kuiambia system lolote lakini naamini moja wapo ya kazi ya system ni kuingilia chochote at any cost na mwiko kwa system kutokuingilia lolote ambalo ni ovu au linalotishia uhai wake au wa kile linachokisimamia!


Mkuu usivutwe na ushabiki !
 
Hakuna ushabiki nni maoni yaliyojikita kwenye facts on the ground.

SYSTEM ILIVYO SASA NI MPARAGANYIKO Hii ni hitimisho langu kutokana na matukio na takwimu za hali ya mambo ilivyo
 
Hakuna ushabiki nni maoni yaliyojikita kwenye facts on the ground.

SYSTEM ILIVYO SASA NI MPARAGANYIKO Hii ni hitimisho langu kutokana na matukio na takwimu za hali ya mambo ilivyo

Who provides the facts at the ground?System?

Who analyses the facts at and from the ground?super system??

Who decides with and the facts at the grounds and acts on them?superior system?
 
Je system inaweza ingiliza uhuru wa wananchi kuchagua mtu wampendao? Sizani ni kazi ya system

System is the only and one that knows and accepts the truly loved of the citizens!never underestimate the SYSTEM!
 
Huna ukweli wa jambo hilo unaliongelea kuhusu system. Eti system iko juu sawa na Mungu. Angalia FBI wafanyakazi wake huwa wanashitakiwa.
 
System ni muunganiko wa organs mbalimbali zinazofanya kazi moja hili ni somo la darasa la saba au form one!

Wewe unaongelea system hipi.ya ulinzi wa nchi au huu wa ccm wa kulinda ufisadi.tofautisha kwanza alafu endelea
 
mimi pia sijakuelewa ila naomba kukuuliza, kama system inatumika vibaya na watawala bado tuiamini?

Mara zote system huwa iko chini ya watawala na ktk nchi yetu tumeshuhudia mambo ya hovyo yakitendeka lakini system haikufanya kitu..

Ufisadi mwingi umefanyika chini ya hiki dude lakini hakuna kilichofanyika.
 
Ningekujibu kwa undani kuhusu system unayotaka kutuaminisha lakini nakusale.

System yako unayotuaminisha ni chaka kavu inangoja cheche igalambulike. Nimesema system yako ni chovu kwa sababu kila kitu kinachotokea kisiasa, kiuchumi na kimaendeleo ni miscalculation za system yako.

Unajua kama ninavyojua kuwa msimamizi mkuu wa hii system hana sifa yo yote ya kuwa msimamizi wa system ndiyo maana inamporomokea mikononi mwake hajui wala hajali.

Kama uko karibu na hiyo system waambie kabisa wasijaribu kuingilia cho chote kinachoendelea watavunja mwiko wa kusurvive ndani ya system. Kwa maana hakuna mwenye uwezo wa kuhili kinachotokea

Frankly speaking siipendi CCM ila kwahaya yanayotokea na jinsi wengi wanavyojiunga kiushabiki kama vile wapo kwenye mashindano ya soka; watanzania wengi wenu humu na kwenye mitandao mnatisha. Kama nchi hii itakuwa haina mtetezi wa kuaminika basi hatupo salama.

Hapo ndipo baba wa Taifa anapozidi kuonekana kuwa tofauti na watanzania wengi..... I still believe nchi hii bado kuna wazalendo na watakuwa tayari kuilinda nchi yao kwa nguvu na uwezo
wote..... Nitoe shukrani zangu kwa majeshi yetu yote ya ulinzi na
usalama nidhamu yeni ni kubwa mno.
 
Who provides the facts at the ground?System?

Who analyses the facts at and from the ground?super system??

Who decides with and the facts at the grounds and acts on them?superior system?

Haiwezekani kuficha ukweli wa uwepo wa system yo yote kila siku. Au ina ufanisi au ina boronga kwa ye yote anayeguswa na system pamoja na wewe na sisi wote.

Unapouliza nani nani nani jibu rahisi ni kuwa ili mradi system inamgusa kila mtu; watu wanaoguswa na system lazima watafanya uchambuzi wa muda mfupi wa kati na wa muda mrefu kulingana na wanavyogusswa kama ulitoa maudhui ya system hapo juu.

Nahitimisha kwa kukuomba jipange una hoja nzuri sana lakini wengi hawakuelewi kwa sababu umechanganya hoja hasa unapojaribu kujibu.
 
Back
Top Bottom