Mwenyekiti wa hii BOARD Mh.Dr.Augustino Lyatonga Mrema tumemskia mara ya mwisho alipofanya mkutano na Bodaboda drivers...na sasa ni kipindi kirefu hatujamsikia.Je yuko Dar au amekwenda kwa semina elekezi kuhusu kazi yake...???
No...No....ya Mako na Mwl.Nyerere ni tofauti kabisa na haya ya Dimani.Mwl.alishangaa watu wa ARK kumchagua Mako wala hakumkataza kugombea.Kuwa mkweli angalau kwa muda tu.
One day ......Lema atakuwa huru au atatiwa hatiani na kupewa adhabu.
One day....mimi au wewe tutakuwa RIP,tumu ogope Mwenyezimungu.
All the days....mimi na wewe tufuate sheria bila shuruti tutakuwa na furaha.
Uko sahihu kabisa.Je hili nalo ni sahihi.....Serikali kupitia vyombo vyake imeona dhahir shahir mtu anaibiwa au anaporwa mali zake, haitachukuwa hatua mpaka anayeporwa alalamike....?????
Siungi mkono mambo ya kutabiri vifo vya watu....Mauti ni jambo lipo nje kabisa ya uwezo wetu.
Urahisi rejea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.