Mwenyekiti wa Taifa wa Bodi ya parole yuko wapi?

Mwenyekiti wa Taifa wa Bodi ya parole yuko wapi?

bibiinna

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2016
Posts
647
Reaction score
430
Mwenyekiti wa hii BOARD Mh.Dr.Augustino Lyatonga Mrema tumemskia mara ya mwisho alipofanya mkutano na Bodaboda drivers...na sasa ni kipindi kirefu hatujamsikia.Je yuko Dar au amekwenda kwa semina elekezi kuhusu kazi yake...???
 
Ni mgonjwa Yupo India miezi sasa kwa Matibabu
 
Mwenyekiti wa hii BOARD Mh.Dr.Augustino Lyatonga Mrema tumemskia mara ya mwisho alipofanya mkutano na Bodaboda drivers...na sasa ni kipindi kirefu hatujamsikia.Je yuko Dar au amekwenda kwa semina elekezi kuhusu kazi yake...???
Yupo india kimatibabu mkuu vipi unamfungwa wako nini!!!
 
Back
Top Bottom