Mpambe wa mh.rais wa awamu ya tano!!je? Ni yule aliekuwa wa awamu ilopita?

wa stendi

JF-Expert Member
Jul 7, 2016
25,123
27,369
Hili swali nimekuta sehemu wanadadisi nami nikashindwa kupata majibu kamili maana kila mtu alijibu anavyojua wengine walidai ni yule yule wengine wanasema ni mwingine tena wakaenda mbali wanakesema swala la walinzi wa rais ni rais mwenyewe anajichagulia!!je!! Kuna ukweli?? Wajuzi naombeni ufafanuzi wenu!!
 
Duuh....hicho kijiwe hakuna draft au karata za kucheza mkacheza ili muda uende??
 
Kwan nyinyi mna chuki gani na huyu ADC wa rais mbna daily mnamwongelea....hata akitolewa msidhan mtachukua nafas maana ni rais ndiye ataamua nani awe mpambe wake!
 
Duuh....hicho kijiwe hakuna draft au karata za kucheza mkacheza ili muda uende??
Hamna mkuu nilikuwa na gari likapata pancha maeneo hayo pembeni kulikuwa na kijiwe ndo nikasikia hoja yao ilikuwa ni hiyo
 
Kwan nyinyi mna chuki gani na huyu ADC wa rais mbna daily mnamwongelea....hata akitolewa msidhan mtachukua nafas maana ni rais ndiye ataamua nani awe mpambe wake!
Hakuna mtu mwenye nia mbaya nae hili ni swali tuu kujuzana mkuu
 
Fanyeni mjadala kwenye mambo yanayowahusu...ya Mh.Rais na ulinzi wake hayawahusu kabisa.Kuweni na mipaka ya kila kitu.
 
Back
Top Bottom