Msaada: Kadi ya gari BMW X5 inahitajika

Msaada: Kadi ya gari BMW X5 inahitajika

Aisee sijui mimi ni slow learner sijakuelewa kabisa ,Anayeuza gari anakuambia hauzi mpaka uende na kadi ya gari husika ? Kwamba ufuatilie TRA ukalisajili au nini ?
 
Dili ya wizi imetokea wapi? Au unafkr kila mtu ni mpiga dili humu? Kama huna msaada kwa nn usikae kimya tu?
Kila anayejua maana ya gar humu anajua either we we no mshamba wa magar au Kuna unachotafuta. Muuza gar akuambie we we mteja uje na kadi ili akuuzie gar???? Ukielezwa ukweli unajidai mjuaji??? Hakuna namna nyingine hiyo gar inaweza kuwa imepatikana zaidi ya kuwa imeibwa mahala.
 
Kila anayejua maana ya gar humu anajua either we we no mshamba wa magar au Kuna unachotafuta. Muuza gar akuambie we we mteja uje na kadi ili akuuzie gar???? Ukielezwa ukweli unajidai mjuaji??? Hakuna namna nyingine hiyo gar inaweza kuwa imepatikana zaidi ya kuwa imeibwa mahala.
U r right brother.... Hapo nakuelewa.
 
Ndugu yangu gari ni kadi wala sio ilo box uliloliona uko wanakoliuza.sasa watu wanakushaur wewe unawaona hamnazo.Vinginevyo nenda mamlaka husika ukawaulize utapataje kadi ya iyo gari alafu usikie watakachokujibu.
 
Natafuta kadi ya gari BMW X5 kwa mtu ambaye gari ilipata ajali (haitengenezeki). Katika pitapita yangu nimekuta yard flani kuna gari BMW X5 inauzwa bei ya kutupwa ila haina kadi wala document yoyote. Muuzaji katoa sharti kuwa ili aiuze lazima uende na kadi ya Gari husika.
Msaada tafafhali.
Ni gari nzuri sana hata ukiona hutapenda kuiacha.
Napokea na ushauri pia.
Nenda wanapokata bodi kadi utazipata fasta.....ila ukiambiwa kuna mtu anayo kadi humu kuwa makini ukute hata mtu wa TRA au polisi
 
Kahulize polis unaweza pata msaada haraka Sana bila gharama
 
Natafuta kadi ya gari BMW X5 kwa mtu ambaye gari ilipata ajali (haitengenezeki). Katika pitapita yangu nimekuta yard flani kuna gari BMW X5 inauzwa bei ya kutupwa ila haina kadi wala document yoyote. Muuzaji katoa sharti kuwa ili aiuze lazima uende na kadi ya Gari husika.
Msaada tafafhali.
Ni gari nzuri sana hata ukiona hutapenda kuiacha.
Napokea na ushauri pia.
Achana na hiyo biashara ya kizamani mkuu,utajikuta unadaiwa na TRA milioni 70,kwa gari ulionunua kwa milioni 5
 
Natafuta kadi ya gari BMW X5 kwa mtu ambaye gari ilipata ajali (haitengenezeki). Katika pitapita yangu nimekuta yard flani kuna gari BMW X5 inauzwa bei ya kutupwa ila haina kadi wala document yoyote. Muuzaji katoa sharti kuwa ili aiuze lazima uende na kadi ya Gari husika.
Msaada tafafhali.
Ni gari nzuri sana hata ukiona hutapenda kuiacha.
Napokea na ushauri pia.
Duh, yaani uchukue card ya gari nyingine uipachike kwenye gari nyingine.Mbona ni kitu kisichowezekana.Kwanza namba za magari zinatofautiana, wamiliki ni tofauti.Kweli usilololijua ni usiku wa giza.Na kama hiyo gari ni ya wizi.Mmm,achana na upuuzi huo mkuu. Na huu uzi unafanya ni ni huku?Si unamtafutia shida mwenye garage.
 
Mhhh hiyo gari itakua imeibiwa nenda katoe taarifa polisi
 
Njoo nikupe ushaur wa kununu Gari hilo BMW achana nalo ni la Wizi inaonekana by the way BMW nazikuabali sana
 
Mkuu mambo ya nafuu daima huwa aghali mwishowe. Kama huyo mwenye yard ana nia njema akupe chasis number ukaisajili TRA kama ina shida utafahamu yote huko kama haina shida pia utajua. Avoid short cut DUNIA ya leo si ya jana utajikuta kwenye matatizo bureee usipokuwa makini
 
Sasa hiyo gari iliingiaje nchini bila document yeyote? Au ndio ile mizigo inayoletwa na majahazi na kushushiwa bandari bubu?
 
Of course not. Ninachotaka ni kadi tu
Dah! wewe ushauri unaokufaa ni ushauri wa ki-darasa.
Yaani mtu aanze kukufundisha upya kabisa a,e,i,o,u za kupata kadi za umiliki wa vyombo vya moto.
Vyovyote iwevyo, hautaelewa chochote.
Nineona comments za watu wengi sana humu wakikushauri ipasavyo, lakini wewe hauelewi unarudi tena kukariri neno hilohilo "kadi"!
Hivi kadi halali ya kumiliki chombo cha moto, ushasikia inatolewa kijingajinga tu mitaani bila umiliki halali wa chombo husika?
Kwanza kadi halali ya chombo ama mtambo huwa imeandikwa jina halali la mmiliki wa kwanza,chasis# na engine#.
Katika kadi hiyo kuna sehemu ya kujaza pindi linapotojea swala ka kubadili umiliki, iwe kwa kupeana ama kuuziana.
Sasa wewe unaelekezwa haulewi wala hausikii!
Kadii! Tena kwa kubana pua kabisa nnkadii! Zindukana! Utaliwa babako!
 
Natafuta kadi ya gari BMW X5 kwa mtu ambaye gari ilipata ajali (haitengenezeki). Katika pitapita yangu nimekuta yard flani kuna gari BMW X5 inauzwa bei ya kutupwa ila haina kadi wala document yoyote. Muuzaji katoa sharti kuwa ili aiuze lazima uende na kadi ya Gari husika.
Msaada tafafhali.
Ni gari nzuri sana hata ukiona hutapenda kuiacha.
Napokea na ushauri pia.
Naona mnataka 'KUIBATIZA' hio X5.
 
Back
Top Bottom