Nashukuruni wadau kwa mawazo mazuri,Ninachoweza kusema sina makosa nao labda kama ninalo hawakuniambia, maana mm ni mdogo wao wakike wa mwisho na nilikuwa naishi na wazazi wetu walioko Mwanza ambao na wao kwa sasa hawana uwezo wazee sana, nilipomaliza o level dada aliniita nikakae kwake,sema ni...