Kwani amekuletea drama gain?ad I suspected your a stalker na wewe ndio ulihamia hapoWakuu nimewasoma, nimewaelewa! ila naomba niwashauri mtu anapokuwa na tatizo usimshauri kwa kumponda si vizuri.......
Afu tatzo la kupenda too much ndo hilo!!
But my problem is huyo mwanamke baada ya kuolewa imetokea kama bahati mbaya tunaishi naye mtaa mmoja hapa jijini