Uchoyo bwana, hebu usifungue hapa!

Praff

Senior Member
Mar 9, 2012
139
12
Mama nyimabondo alikuwa ameshapika chakula ndipo akaenda kwa bwana wake ambaye kwa muda huo alikuwa anacheza drafti na wenzake chini ya mwembe jirani kidogo na nyumba yao. Alipofika pale hakutaka kuwakaribisha wote, akatumia mbinu hii:
"we baba nyimabondo, kichwa kama chakula tayari" mme wake akajibu kwa ghadhabu "we mpumbavu nini, ntakupiga sasa hivi, unataka nifungwe drafti ee, PUA KAMA TANGULIA NAKUJA"
 
Mama nyimabondo alikuwa ameshapika chakula ndipo akaenda kwa bwana wake ambaye kwa muda huo alikuwa anacheza drafti na wenzake chini ya mwembe jirani kidogo na nyumba yao. Alipofika pale hakutaka kuwakaribisha wote, akatumia mbinu hii:
"we baba nyimabondo, kichwa kama chakula tayari" mme wake akajibu kwa ghadhabu "we mpumbavu nini, ntakupiga sasa hivi, unataka nifungwe drafti ee, PUA KAMA TANGULIA NAKUJA"
samahan nimekosea mlango.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom