lara 1
JF-Expert Member
- Jun 10, 2012
- 15,700
- 29,190
Acha kedeka deka mimi mwenyewe mzazi wangu kabisaaa hela ya boom alikuwa anadai nimnunuli wax, na ameajiriwa plus ana biashara zake na nilikuwa namnunulia wax, na chakula nyumbani napeleka ila sikulalama nikajua ndo ukubwa huo!!!!!!!!!!!
Shukuru kwa hiko chuo na usome kwa bidiii sana! Undugu ni kufanana siku hizi wala si kusaidiana! Mara ya mwisho senti tano ya my bro sikumbuki niliiona lini? Isingekuwa usmart wangu wa kumuibia dukani na kwenye busness zake ningeshapauka!!!!!!!!!
We komaa hivo hivo utatoka! Mimi wanaume zangu wananijali kuliko my blood brother!!!!!!! Hapa napoandika machozi yananitoka!!!!! Mtu si ndugu yako ila anakujali acheni tu, ila nakaza tu naamini iko siku!
Saa hivi nina kazi nikaanza kuendekeza ndugu nimeona niakufa maskin manake mi nateseka, nakomaa wenyewe wamejibweteka wanaitisha tu hela kama zinaota mitini! Heri tu wanione mbaya!
Ushauri wangu komaa tu utatoka!
Shukuru kwa hiko chuo na usome kwa bidiii sana! Undugu ni kufanana siku hizi wala si kusaidiana! Mara ya mwisho senti tano ya my bro sikumbuki niliiona lini? Isingekuwa usmart wangu wa kumuibia dukani na kwenye busness zake ningeshapauka!!!!!!!!!
We komaa hivo hivo utatoka! Mimi wanaume zangu wananijali kuliko my blood brother!!!!!!! Hapa napoandika machozi yananitoka!!!!! Mtu si ndugu yako ila anakujali acheni tu, ila nakaza tu naamini iko siku!
Saa hivi nina kazi nikaanza kuendekeza ndugu nimeona niakufa maskin manake mi nateseka, nakomaa wenyewe wamejibweteka wanaitisha tu hela kama zinaota mitini! Heri tu wanione mbaya!
Ushauri wangu komaa tu utatoka!