EBENEZA MT
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 264
- 50
Chelewa chelewa utakuta mwana si wako.
ahhhh nimependa hiyooNdo Mumeo mtarajiwa? Mbona yuko pouwa tu Mkuu?
Hakuna cha ucute nao wangeandamana JF kuomba ushauri wamekataliwa ukweni.wangekuwa cute kama mamayao
tunaomba na picha yako ili tucomment!!!!
chombo cha uhakika.Weka ndani kwa nguvu..Usiangalie sura angalia tabia
Kwani unawaolea wazazi.....! hebu peleka ujinga huko, kitu kama umependa mwenyewe wazazi hawana nafasi kwasababu badae ni wewe na yeye mnaenda kukaa pamojo."..... ila mwanangu unapenda sura chachu"
Dah lakini sura kama ngumi nampenda!. Uso kama ndimu nampenda tu!
tunaomba na picha yako ili tucomment!!!!