Mama mkwe kambania

Kwani unawaolea wazazi.....! hebu peleka ujinga huko, kitu kama umependa mwenyewe wazazi hawana nafasi kwasababu badae ni wewe na yeye mnaenda kukaa pamojo."..... ila mwanangu unapenda sura chachu"
 
Dah lakini sura kama ngumi nampenda!. Uso kama ndimu nampenda tu!
 
Kwani unawaolea wazazi.....! hebu peleka ujinga huko, kitu kama umependa mwenyewe wazazi hawana nafasi kwasababu badae ni wewe na yeye mnaenda kukaa pamojo."..... ila mwanangu unapenda sura chachu"

mbona unamponda baby wangu?
 
Back
Top Bottom