Nijuavyo Mimi kutoka usaha sio uti tena na ndio maana dawa hazifanyi kazi! Ushauri wangu ukapime japo inajionesha dhahiri hiyo ni gonorrhea na matibabu yake yapo japo unavyozidi kuchelewa unaweza pata matatizo kwenye mfumo wa uzazi
Kansa ya kizazi huwa inasababisha MTU kutokwa damu mara tu unapogusa mlango wa kizazi, japo kuna sababu nyingine zinaweza kusababisha ni vizuri mkaenda hosp kwa ajili ya ushauri na vipimo zaidi.
Hilo la bima ni tatizo,ukienda hosp km una bima utazungushwa na dawa usipate ukienda duka la dawa wanasema dawa nyingine hazipo kwenye bima.swali langu ni kwamba kwa nn hela inakatwa bila kujadili hlf matibabu usumbufu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.