Hakuna mkopo kwa diploma holders kwenda degree

Hakuna mkopo kwa diploma holders kwenda degree

Status
Not open for further replies.
taarifa hizi wanaozisambaza kama ni za kweli mbona hawataji chanzo cha hii habari?,kazi kupandisha tu mizuka ya watuu,mnaweza ua wenzenu kwa hizi taarifa maana kuna watu wana GPA ya 2.7 wanataraji kuapply mwakaa huuuuu.je inawezekana kubadilisha kanuni za mchezo katikati ya mashindanoo?.japo kwa zama hizi za HAPA KAZI TUU hilo haliwezi kua ajabu.
 
Aise hebu Moderators fanyeni kazi yenu,habari za uongo zimezidi..tunatiana presha tu akati kesho kambini
 
Na hizi taarifa zinasambaa whatssap sanasana na watu wamejuaje wakati TCU na heslb hawajatoa guideline zao za mwaka 2016/2017.inatuumiza akili sana sisi wahitimu wa kidato cha sita[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24]
 
hata izo post zinazozunguka mitandaon hazisemi watakaoenda degree wenye diploma hawatapewa mkopo bali wale walio na ufaulu wa chini ya GPA 3.3 ambao pia wataenda kusoma io special diploma ndio hawatapewa mkopo wakiwa wanasomea io diploma bali watapata punguzo la ada lakin wenye sifa za kujiunga chuo kikuu yaani hao wenye kuanzia 3.3 kwenda juu wao mkopo watapata kama kawaida...... ila hiv vgezo navyo kam n kweli mbana viko juu sana!!
 
Mkuu uko very correct.... Sio watu wote wenye diploma wameajiriwa.... Kati ya 100%utakuta 30% ndo wameajiriwa.....Mimi nafikiri Rais Magufuli alitizame mara mbili ili swala haswa ukizingatia alituahidi kwamba kila mwenye sifa za kusoma atapewa mkopo[emoji22] [emoji22] [emoji22]
Mzee uwa anaongea maneno mengi sana mpaka anasahau
 
Naomba mwenye source of information ya tangazo hilo anipe hata kwa PM
 
Vyuo vya private vinakwenda kufa sasa. Maana vilikua vinategemea wenye division three
 
Taarifa hii ni kwa mujibu w mamlaka ipi?
 
Wanataka one na two bila ya kusema jitihada walizo weka kwa kuwafanya watoto wapate one na two
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom