hahaha... akamue kwa uwezo, sio?..Mchonvye huyo acha ubwege.
Hakikisha milango yote unafunga wewe Leo.. Usimpigie kitandani kwako, nenda kwake..
"Kamua Baba Kamua.. Kamua wala usitumie hirizi"
da!!!!, umeongea point muhimu sana...kama kuna msiba jamaa anafaham, na mkewe alipaswa kumjulisha pia ya kwamba atalala hapo...Inakuwaje we hujui mkeo analala msibani ila shemejio ndo anajua. Kwanini mke wako ameshindwa kukueleza hilo? Tafakari halafu chukua hatua.
Kuna mawili kati ya haya.da!!!!, umeongea point muhimu sana...kama kuna msiba jamaa anafaham, na mkewe alipaswa kumjulisha pia ya kwamba atalala hapo...
ila Mi naona bora amkaze tu huyo shemejie....maana ametaka mwenyewe,
Inabidi amkaze kisawasawa...akamsimulie dadaake...
Hii constant nlijikuta physics na chemistry.... Pendulum bob ikininginizwa una assume gravitational force is constant hahahaaa... Haibadiliki hiyo kitu maishaSisi wana mahesabu husema K=Constant
i.e Utazunguka poooote, lakini K*** ni ile ile tu
mlambeNdugu zangu,
Nimeoa mwaka 2009 na tumebahatika kuzaa watoto wawili.Kwa hivi sasa ndoa yangu imeyumba zaidi kwani unyumba ninapewa kwa mwezi mara mbili tena kama msaada.
Kuna dalili zote mke wangu amepoteza mvuto na mimi kwani hata nikihitaji penzi amekuwa unwilling, lakini mke wangu ana mdogo wake wa kike ambaye ni robo tatu mama mwenye nyumba kwasababu anafanya kila kitu nyumbani.
Mke wangu yeye akitoka kazini ni kusingizia amechoka basi nikuwasha Tv kuangalia tamthilia ni takribani miezi miwili sasa, uhusiano wetu na mdogo wake ulianza kuchukua sura mpya ile tabia ya kuniwekea chakula mezani imehamia kuniletea chumbani cha ajabu leo asubuhi kaja kunidekia chumbani na night dress dada yake akiwa kazini.
Moyo wangu kama binadamu umeanza kumuangukia na alichonieleza dakika ishirini zilizopita ni kwamba dada leo atalala msibani nyumba ya pili kwa hiyo atakuja kulala kwangu nimepigwa na butwaa.
NAOMBENI USHAULI NIMKEMEE PEPO AU NIFUTWE MACHOZI
Nakubaliana na wewe mkuu....Jamaa awe makini sans na uamuzi ataochukua...vinginevyo ndoa yake inaelekea kufikia ukomo....Kuna mawili kati ya haya.
1. Ni mpango na dadake ili jamaa aonekane kalala na shemejie ili mwanamke awe na justification.inavyoonekana huyu mke hampendi mume tena. Ila itakuwa mbaya kwa mdogo mke kama kweli wamepanga maana itamuachia doa.
2. Huyu mdogo mke keshaona gap lililopo kati ya dada yake na mume. Naye amekuwa akitamani hiyo nafasi na anaona ndo wakati mwafaka.
Hilo la pili nalipa nafasi kubwa na kama ikiwezekana ampitie tu kumaliza mzizi wa fitina. Hana haja ya kumtunzia mke wakati hapendeki.
Ndugu yangu usithubutu kufanya jambo hilo litakudhalilisha wewe pamoja na wazazi wako kwa wazazi wenziwe acha kabisa mpango huo utaiteketeza familia yako kakaHIVI KWANZA UNAO UMRI GANI ? UKISIKIA KUNA WAKWARE ! NDIO KAMA WEWE !