Wizara ya Afya, muimulike na NHIF

Hilo la bima ni tatizo,ukienda hosp km una bima utazungushwa na dawa usipate ukienda duka la dawa wanasema dawa nyingine hazipo kwenye bima.swali langu ni kwamba kwa nn hela inakatwa bila kujadili hlf matibabu usumbufu?
 
Back
Top Bottom