Tanesco wametoa maaelezo pungufu na kuwaacha watanzania hewani maana Hakuna anayejua haya maboresho yana athari gani au faida gani kwa mlaji.
Tutulie dawa ituingie..
Wengi watakuwa hawajakuekewa..
Nchi inapo-sign mikataba ya kulinda vivutio vya asili (UNESCO) inamaanisha sisi kama nchi hatuna maamuzi na vivutio hivyo maana vinalindwa na mamlaka za kimataifa kwamba chochote tutakachotaka kufanya lazima wao wajue na tuwashirikishe katika maamuzi na si kusema...
Tulioko kwenye sekta ya utalii ndio tunalijua hili vyema. Umesema vyema sana na pia iwe funzo kwa wengine kutoa uchambuzi potofu. Wengi sana watakosa kazi hivi karibuni.
Makampuni mengi wana deal na middle class tourists na sio matajiri ambao serikali yetu imewalenga.
Tusubiria kuona uhafifu wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.