Wewe ndio mpumbavu, hakuna kitu kinachoanza bila changamotoSisi tu wapumbavu
Watanzania ni wagumu sana kuelewa na kubadilika, sijui tukoje
90% ya madereva wa dar ni punguani
Umenichekesha kweli [emoji23] [emoji23] [emoji23]huo mradi hautochukuwa hata mwaka unakufa. hizo barabara zitakuwa soko la wamachinga!!
kwa hiyo hapo mnafata sheria umbali wa 10km kil siku mnagongwa sheria zipi mnafata hakuna madereva bwana hapo mmepewa Elimu miezi sita still mnagonga kila siku harafu unakuja kutetea ujinga hapa..Mkuu dereva bora ni yule anayefuata sheria za barabarani, na sio mwenye uwezo wa kwenda masafa marefu, kwani hawa wa malori na mabasi ndio wanywa viroba na mirungi, na kuvunja sheria kwao ni jambo la kawaida sana. Kuongoza taifa la watu mbumbu ni shida sana.
Mkuu lane zenyewe za bara bara zipo mbili tuu shida harafu unajifanya kuna madereva hapo je ingekya lane tano au saba ingekuaje...Mkuu dereva bora ni yule anayefuata sheria za barabarani, na sio mwenye uwezo wa kwenda masafa marefu, kwani hawa wa malori na mabasi ndio wanywa viroba na mirungi, na kuvunja sheria kwao ni jambo la kawaida sana. Kuongoza taifa la watu mbumbu ni shida sana.
Vifo vingine ni vyakujitakia kabisa.