Recent content by BeibeSmith

  1. BeibeSmith

    Jeans Chano ilivyoniachanisha na Mchumba wangu

    Mtengeneze mtu the way unavyotaka awe. Jeans tu ndio drama zote hizo!!
  2. BeibeSmith

    Sijamtongoza kanipa penzi, hali hii tutapata wanawake wa kuoa kweli?

    Yaani wewe unamshangaaje malaya mwenzio! Utammegaje dem hujatongoza hlf unamshangaa. You two are all the same. Mwanaume anayejitambua na mwenye msimamo hawezi chovya dyudyu yake kwenye K iliyojileta tu.
  3. BeibeSmith

    Mke wa rafiki yangu anafanya mapenzi kinyume na maumbile

    Kama vile na wewe unataka ! Hainaga ushemeji hiyo!
  4. BeibeSmith

    Kisasi: Mke wa Boss ndani ya 18 zangu

    Zonal manager hapitagi humu jf? Umeweka kila kitu wazi
  5. BeibeSmith

    Kudukua mawasiliano ya simu, ni kosa kisheria?

    Pm za jf zinadukuliwa. Mbaya sana hii
  6. BeibeSmith

    Saikolojia: Jinsi ya kuondokana na mawazo yanayoumiza au kuhuzunisha

    Nakuelewa. Am facing the same situation lkn tofauti na wewe mimi najua ni nini kinachonipa stress.
  7. BeibeSmith

    Mke wangu anazidi kuwa kibonge

    Ulivyoapa wakati wa ndoa kwa shida na raha ulidhani shida ndio zipi? Kitu kidogo tu hicho unakuja kulalamika mitandaoni. I feel pity to your wife..
  8. BeibeSmith

    Nipeleke Nipelekee...

    Teh teh kizuri kula na mwenzio shosti!
  9. BeibeSmith

    Nipeleke Nipelekee...

    Kasinde huyo daddii wako mbona ni wa kwangu pia? Teh teh
  10. BeibeSmith

    ISIS yatafuta kiki kupitia Uislam

    Hao ni waislamu hata jina lao linajieleza.
Back
Top Bottom