Kaka
JF-Expert Member
- Nov 22, 2006
- 745
- 373
Zipo Qur'an zilizoandikwa kiswahili.Acha unafiki wewe wale ndio wanafuata dini ya uislam na watampga yyte ambae anapnga au hatekelezi maandiko!!Eb kakisome kitabu chenu ukimalize ukielewe
AF uje kujibu haya
Kwanini hawataki kuigeuza quaran" kwa lugha za husika kama kiswahili au kingereza n.k ili kila MTU a some aielewe!!mnatetea eti utapunguza swawabu!!
2.Wazinzi wakikamatwa mwanamke inabidi apgwe mawe ,mbona hampgi
3. Wasio waamini uislam mnawaita kafiri,na kadiri yenu kafiri hatakiwi wala Hana haki ya kuishi
Wanachofanya IS wapo sawa kadiri ya maandiko yenu !!Huwez kuyapnga hayo makundi wakati dini yenu ndo inasema hivo!!
Kumbuka tu kilichotokea Kenya!! Wale wanatekeleza kilichoandkwa!!
Kaka ...