Nipeleke Nipelekee...

Nipeleke Nipelekee...

Kasinde huyo daddii wako mbona ni wa kwangu pia? Teh teh

Weeeh ishia hapo hapoo. .......
Zile crush nyingine zoote za Kasie nakuruhusu uendelee ziwe zako ila huyu dadii ukae mbali aiseeh...... ooohooo. ...... hehehehhe
Wengine wooote nta share ila huyu heeee hapana aiseeh
He is dadii and he is unique. ..... He spoil me badly and I love that......
 
................................................... ?????? talk talk Kasinde

Niseme nini tena..... sina cha kusema..... bali nafurahia maisha..... raha ndani ya roho. ....
 
tujifiche PM

Hahahahahaaa ungekuja tuu bila kusema hapa..... wapenda ubuyu watatufata kutuchungulia tunasemeshana nini kisha waongezee pili pili na chumvi wauze ubuyu bei chee. ..

Halafu dadii anakusoma ujue........
 
Hahahahahaaa ungekuja tuu bila kusema hapa..... wapenda ubuyu watatufata kutuchungulia tunasemeshana nini kisha waongezee pili pili na chumvi wauze ubuyu bei chee. ..

Halafu dadii anakusoma ujue........

oooooooooooooooops kumbe nshaharib uhondo ee ? hata next year
 
Hahahahahahahaa kwelii hata sijagundua nahisi inatokea tuu..... au uchokozi ni moja ya hulka yangu. .... heheheh
Kuna uchokozi mwingine mzuri so endelea kuchokoza but ujue unatuweka pabaya wengi kwa uchokozi wako.
 
oooooooooooooooops kumbe nshaharib uhondo ee ? hata next year

Yaani mchuzi ushaingia shubiri tena hauliki haunyweki. ....... sijui next year itakuweje. ....
 
Hapana endelea una kipaji cha uchokozi tutastahmil ni kama pilipili kuwasha kwake ndo burdan yenyewe.

Hahahahahhahahahahhhahhaaaaaaaaa weeweee eti kama utamu wa pili pili kuwasha hehehehe haya bana.

Thanks rafiki.
 
Weeeh ishia hapo hapoo. .......
Zile crush nyingine zoote za Kasie nakuruhusu uendelee ziwe zako ila huyu dadii ukae mbali aiseeh...... ooohooo. ...... hehehehhe
Wengine wooote nta share ila huyu heeee hapana aiseeh
He is dadii and he is unique. ..... He spoil me badly and I love that......
Teh teh kizuri kula na mwenzio shosti!
 
Teh teh kizuri kula na mwenzio shosti!

Vizuri nnavo vingi tuu tena sio tuu tube wote.... nakuachia mzima mzima ule umtafune umshindwe mwenyewe........ crush zoote za tangu 2014 hadi April 2016 nakuachia mazimaaaa wee chukua woote... nguvu yako tuu ya kuwabeba.

Ila huyu dadii mmmhh mmmhh hapana aiseeh huyu ni special kwa ajili ya Kasie. Dadii wangu ameamua uzee wake aumalizie na Kasie hivo hapa no sharing.

Ukionja mautamu ya dadii jinsi anavyo ni spoil.... hutataka kukaa mbali naye hivo huyu hata kuonja hakuna hehehehehee hapa nakaba hadi penalty looh hahahaa.
 
Au sivyo hivyo?mtu anapyenga na kupyenga lakini achali haiachi.

Hahahahahahahaaaa mzee ruksa alisema utamu ule umekaa mahala pabaya..... hehehehhe

Na baba wa Taifa alisema ukishaanza kula nyama ya binadamu au ukishaionja tuu kuiacha huwezi utaendelea kuila na kuila tuu heheheh
 
Hahahahahahahaaaa mzee ruksa alisema utamu ule umekaa mahala pabaya..... hehehehhe

Na baba wa Taifa alisema ukishaanza kula nyama ya binadamu au ukishaionja tuu kuiacha huwezi utaendelea kuila na kuila tuu heheheh
So raha ya pilipili kuwasha?una kipaji cha kuamsha hisia zilizofichikana.
 
Back
Top Bottom