Nipee nipige cha jimamawee ngojea wadogo wenzako, huku ni bakulutu tuu...
Njaloo Africa....
Ukiisha mfungo dadii akae pembeni,ataxhezea za USO,mwenyewe narudi bahna..Hahahahahaa dadii hawezi kubali ....
Wewe Kasie si juzi kati umenijibu hapa kuwa hataki wanaume wanakuzingua, unataka life alone!! Au nilikuelewa vibaya!? Au genye zimezidi hivyo umeamua kubadili msimamo. Hizi gia za angani itabidi Mbowe afute kauli.
.........................