Recent content by bbc

  1. bbc

    Ninauza mashine za kufua nguo

    Nilidhani ni aina ya LG!!
  2. bbc

    Boni Mwaitege amefungua kanisa lake

    Ikiwa inalipa kama biashara nyingine kwanini asifungue!!
  3. bbc

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Makabila yote ya Tanzania yana tamaduni zao
  4. bbc

    Jinsi ya kuepuka kuibiwa gari au vitu ndani ya gari lako

    Nadhani hiyo ni teknolojia mpya!!!!
  5. bbc

    Hongera JWTZ kwa kumiliki Humvee

    Hivi tusemapo “deraya” tuna maana gani?
  6. bbc

    Uchaguzi 2020 Lissu: Watanzania sio kwamba hawana akili bali Lugha ya kufundishia ndio shida, Elimu yetu inabidi ifumuliwe na lugha ya kufundishiwa iwe moja

    Kama nilisoma sawasawa uzi ule, alisema kuna BAADHI ya majaji na mawakili.... kitu ambacho ni kweli.
  7. bbc

    Walionicheka na kunidharau wakati nina matatizo, wamenuna baada ya kumaliza matatizo yangu

    Ndugu na jamaa wakati mwingine wanakuheshimu kwa sababu ya nafasi yako kimaisha, ndivyo Dunia ilivyo!!
  8. bbc

    Uchaguzi 2020 Lissu: Watanzania sio kwamba hawana akili bali Lugha ya kufundishia ndio shida, Elimu yetu inabidi ifumuliwe na lugha ya kufundishiwa iwe moja

    Kwenye lugha kuna ukakasi, watawala wetu wa mwisho walikuwa Waingereza sasa Kiswahili kilitokea wapi!!!
  9. bbc

    Suala la mishahara linakuzwa mno, tuzungumzie maslahi ya watumishi kwa ujumla

    Nijuavyo mimi, mshahara ni mshahara ambao “una-account” kwenye mafao wakati wa kustaafu tofauti na maslahi mengine!!
  10. bbc

    Je, hii pesa niifanyie nini?

    Sijui biashara gani NDOGO inalipa namna hiyo!
  11. bbc

    Niulize chochote kuhusu Gamboshi jiji la wachawi

    Kurahisisha kazi ungeenda na mtaalam Mshana!
  12. bbc

    Madhara ya kutofanya tendo la ndoa muda mrefu

    Kumbe mwisho wa siku waweza kufa kwa kutokufanya “tendo la ndoa” muda mrefu, ni ugonjwa!!!
  13. bbc

    Niulize chochote kuhusu Nyuki na Asali

    Naongezea, mtu anayetaka kununua asali atajuaje haijaongezwa kitu chochote?
  14. bbc

    Hakuna kitu kinaitwa "plate number" Dunia hii

    Kiswahili chenyewe kilitoka wapi, watawala wetu walikuwa Waarab, Wajeruman, Waingereza, nk wote walikuwa hawajui Kiswahili!! Ni lugha ya kuungaunga hivi!
Back
Top Bottom