Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,902
- 95,413
Humvee za mabeberu!
wakati huo hutaki yanunuliwe maana wananchi hawana sukari.
binadamu ukimtafakari sana unaweza ishia kumheshimu kiumbe mwingine.
Baada ya kufikiri mpaka mwisho ndo umekuja na comment hii??? Jinga kabisaMm nilifikiri wamebuni tractor au tumgundua hata mashane za maana kumbe ni kutumia pesa za fukara la wewe kuagiza silaha??? Poor and idiot you
Hivi RPG ikiipiga hii gari si mchezo umeisha hapohapo?Mine Resistance Ambush Protected vehicles..
View attachment 1563224
Matagarais wetu anafa nya mambo mazuri kila upande kimya kimya safi sana
Sasa hiyo ishakuwa Anti-Tank Guided Missile itashindwaje kupiga vehicle ndogo hivi. Hata ukitumia RPG inaweza ipoteza.Linaweza kuhimili 9M133 Kornet ambayo ni ATGM ?
Hii ni amored,,RPG itafanya damage kidogo sana,,labda anti tank (ATGM)ndo inaweza kuliharibu,Hivi RPG ikiipiga hii gari si mchezo umeisha hapohapo?
Humvee moja dola 200,000 karibu sawa na tsh milioni 500,Weka bei moja linauzwa dolari ngapi?
Nadhani kila silaha inakazi yake na mahali pake pa matumizi....sio kila sehemSasa hiyo ishakuwa Anti-Tank Guided Missile itashindwaje kupiga vehicle ndogo hivi. Hata ukitumia RPG inaweza ipoteza.
Humvee sio ya kwenda front line bora ingekuwa hata IFV au APC.
Nalipongeza JWTZ kwa kumiliki gari madhubuti la kivita aina ya Humvee.
Nilikuwa napitia wikpedia nikaona hiyo taarifa kwamba kwa East Africa ni Tanzania na Uganda kwa mbali.
Humvee sio gari la kitoto ni gari la deraya matata sana na kwenye uwanja wa Vita ni super utility to have.
Halipinduki hovyo kutokana na lilivyoundwa ni pana na fupi hivyo lina stance.
Hongera JWTZ.
View attachment 1563950View attachment 1563951
Kweli garama sana..ukiwa nayo 50 bajet yake sio poa hapo bado garama za mentainance ....vipuri nkHumvee moja dola 200,000 karibu sawa na tsh milioni 500,
MRAPs ni USD 1000000,sawa na bilion 2.3 kwa moja
Moja bei gani? Au za msaada kwa hisani ya mabeberu!?Humvee za mabeberu!