Da Gladiator
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 1,645
- 2,656
Inakuwa dhaifu, " Theory of use and dis use" by Lamarckmashine huwa inapukutika mpaka inaisha...
Inakuwa dhaifu, " Theory of use and dis use" by Lamarckmashine huwa inapukutika mpaka inaisha...
Shunie, nimekumisNa kuchekacheka hovyo mkuu umesahau
Mwanzo ulikua unaitwa nani eti mkuuShunie, nimekumis
Kabisa sio kweli jamani. Nimejaribu kuzitafakari point zote kiukweli hapana.Acha uongo
Labda kwa walio addicted na ngono, ila kwa mtu wa kawaida hata usifanye mda gani unakua normal.Kabisa sio kweli jamani. Nimejaribu kuzitafakari point zote kiukweli hapana.
Yeah that's trueLabda kwa walio addicted na ngono, ila kwa mtu wa kawaida hata usifanye mda gani unakua normal.
Habari zenu,
Nimeona niwaletee hili nina imani mtajifunza hasa kwa wale wasiofahamu,Ukikaa Muda Mrefu bila Kufanya tendo la Ndoa madhara yake ni kama haya:
• Hasira za mara kwa mara katika mambo madogo
• Kupendelea sana kuangalia picha za uchi,
• Kusahausahau,
• Kupendelea story za mapenzi,
• Kutokwa damu nyingi wakati wa hedhi (Mke),
• Kupenda kurukiarukia mambo ya watu wengine (tabia ya kufuatilia mambo
yasiyokuhusu) [emoji38] [emoji38] [emoji38]
• Kuumwa na kichwa,
• Kukakamaa mgongo (wanaume),
• Kuingiliwa kirahisi na jini mahaba,
• Kupoteza umakini katika kazi (efficiency),
• Siku ukikutana kimwili na mwenye virusi bila kinga utaambukizwa kirahisi mno,
• Waweza ku-develop tabia mpya ambayo hukuwahi kuwa nayo ili iwe mbadala kama ulevi n.k. Install Application ya
Udaku Special Uweze Pata Habari Kirahisi Zaidi
Madharaaa ya kutokuwaa na pesa mudaa mrefuuuuHabari zenu,
Nimeona niwaletee hili nina imani mtajifunza hasa kwa wale wasiofahamu,Ukikaa Muda Mrefu bila Kufanya tendo la Ndoa madhara yake ni kama haya:
• Hasira za mara kwa mara katika mambo madogo
• Kupendelea sana kuangalia picha za uchi,
• Kusahausahau,
• Kupendelea story za mapenzi,
• Kutokwa damu nyingi wakati wa hedhi (Mke),
• Kupenda kurukiarukia mambo ya watu wengine (tabia ya kufuatilia mambo
yasiyokuhusu) [emoji38] [emoji38] [emoji38]
• Kuumwa na kichwa,
• Kukakamaa mgongo (wanaume),
• Kuingiliwa kirahisi na jini mahaba,
• Kupoteza umakini katika kazi (efficiency),
• Siku ukikutana kimwili na mwenye virusi bila kinga utaambukizwa kirahisi mno,
• Waweza ku-develop tabia mpya ambayo hukuwahi kuwa nayo ili iwe mbadala kama ulevi n.k. Install Application ya
Udaku Special Uweze Pata Habari Kirahisi Zaidi