Madhara ya kutofanya tendo la ndoa muda mrefu

Madhara ya kutofanya tendo la ndoa muda mrefu

Habari zenu,

Nimeona niwaletee hili nina imani mtajifunza hasa kwa wale wasiofahamu,Ukikaa Muda Mrefu bila Kufanya tendo la Ndoa madhara yake ni kama haya:

• Hasira za mara kwa mara katika mambo madogo
• Kupendelea sana kuangalia picha za uchi,
• Kusahausahau,
• Kupendelea story za mapenzi,
• Kutokwa damu nyingi wakati wa hedhi (Mke),
• Kupenda kurukiarukia mambo ya watu wengine (tabia ya kufuatilia mambo
yasiyokuhusu) [emoji38] [emoji38] [emoji38]
• Kuumwa na kichwa,
• Kukakamaa mgongo (wanaume),
• Kuingiliwa kirahisi na jini mahaba,
• Kupoteza umakini katika kazi (efficiency),
• Siku ukikutana kimwili na mwenye virusi bila kinga utaambukizwa kirahisi mno,
• Waweza ku-develop tabia mpya ambayo hukuwahi kuwa nayo ili iwe mbadala kama ulevi n.k. Install Application ya

Udaku Special Uweze Pata Habari Kirahisi Zaidi

Kumbe mwisho wa siku waweza kufa kwa kutokufanya “tendo la ndoa” muda mrefu, ni ugonjwa!!!
 
Habari zenu,

Nimeona niwaletee hili nina imani mtajifunza hasa kwa wale wasiofahamu,Ukikaa Muda Mrefu bila Kufanya tendo la Ndoa madhara yake ni kama haya:

• Hasira za mara kwa mara katika mambo madogo
• Kupendelea sana kuangalia picha za uchi,
• Kusahausahau,
• Kupendelea story za mapenzi,
• Kutokwa damu nyingi wakati wa hedhi (Mke),
• Kupenda kurukiarukia mambo ya watu wengine (tabia ya kufuatilia mambo
yasiyokuhusu) [emoji38] [emoji38] [emoji38]
• Kuumwa na kichwa,
• Kukakamaa mgongo (wanaume),
• Kuingiliwa kirahisi na jini mahaba,
• Kupoteza umakini katika kazi (efficiency),
• Siku ukikutana kimwili na mwenye virusi bila kinga utaambukizwa kirahisi mno,
• Waweza ku-develop tabia mpya ambayo hukuwahi kuwa nayo ili iwe mbadala kama ulevi n.k. Install Application ya

Udaku Special Uweze Pata Habari Kirahisi Zaidi
Madharaaa ya kutokuwaa na pesa mudaa mrefuuuu
 
Back
Top Bottom