Hivi kweli ujiue kisa mwanamke? Hebu Wacha vituko. Ukijiua huyo mtoto si atabaki bila baba? Na ukujiua si ndiyo watapata uhuru zaidi? Cha kwanza hapo mpige huyo mwanamke chini hakufai kabisa huyo
Nina jamaa zangu kadhaa wanafanya kazi kampuni tofauti za ukandarasi wa ujenzi wa Barabara Toka last year wamepunguzwa kazi kisa serikali haijalipa makandarasi fedha wanazodai
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.