Recent content by barakuda

  1. barakuda

    Uzi Maalum kwa ajili ya kupeana Salamu na Heri za Christmas na Mwaka Mpya 2026

    Naogopa kutuma salamu zangu mwanamke mmoja hapa maana anaweza akaikataa halafu ikawa fedheha
  2. barakuda

    Mimi ni mwanaume ninayeonewa na mke wangu, Dkt. Gwajma nisaidie

    Hivi kweli ujiue kisa mwanamke? Hebu Wacha vituko. Ukijiua huyo mtoto si atabaki bila baba? Na ukujiua si ndiyo watapata uhuru zaidi? Cha kwanza hapo mpige huyo mwanamke chini hakufai kabisa huyo
  3. barakuda

    Je, tume ya Jaji Chande itatumika kupoteza ushahidi wa ICC?

    Kwa akili zako unaona itawezekana?
  4. barakuda

    Tunaomngojea Humphrey tukutane hapa

    Mbona kama ameshaanza na alisema ni saa 3 ?
  5. barakuda

    Rais Samia Apewa Tuzo na Makandarasi wazawa kuongeza wigo wa Thamani ya kazi za wazawa kutoka Bilioni 10 Hadi Bilioni 50

    Nina jamaa zangu kadhaa wanafanya kazi kampuni tofauti za ukandarasi wa ujenzi wa Barabara Toka last year wamepunguzwa kazi kisa serikali haijalipa makandarasi fedha wanazodai
  6. barakuda

    Dawa ya maumivu ya kiuno

    Nenda hospital kitengo cha mifupa watakufanyia vipimo( X RAY or MRI). Vipimo vitaamua ufanye physiotherapy au surgery
Back
Top Bottom