Hizi hela kuwa zinaliwa sana... Nakumbuka hr mmoja pale maliasili wizarani kipindi fulani alikuwa anaitwa Bernard Urassa alishiriki pakubwa kutudhulumu hela yetu ya kujikimu
Hivi kweli ujiue kisa mwanamke? Hebu Wacha vituko. Ukijiua huyo mtoto si atabaki bila baba? Na ukujiua si ndiyo watapata uhuru zaidi? Cha kwanza hapo mpige huyo mwanamke chini hakufai kabisa huyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.