Recent content by barakuda

  1. barakuda

    JamiiForums Tanzania Kwanini Dkt. Dorothy Gwajima, akulizwa kuhusu ushoga au mashoga ambao wanajitapa anakuwa anakwepa kwepa?

    Unamzungumzia yule aliyekuwa mwanasheria mwandamizi au yule former cabinet minister?
  2. barakuda

    JamiiForums Tanzania Wenzangu, mnawezaje kuishi na wanawake wababe?

    Atakuwa dem wa chugastan huyo
  3. barakuda

    JamiiForums Tanzania Je? Musa, Eliya na Henoko wako wapi?

    Wapo paradiso ,
  4. barakuda

    JamiiForums Tanzania Ilikuwaje TANU Ikasalimika na Udini?

    Tena huyu mzee anaonekana ana roho mbaya sana ya kibaguzi
  5. barakuda

    JamiiForums Tanzania Ilikuwaje TANU Ikasalimika na Udini?

    Nyerere aliwafyekelea mbali walotaka kuleta mambo ya ki kubaz kwenye chama
  6. barakuda

    JamiiForums Tanzania Natafta mganga wa kuagua wa ukweli.

    Njoo dm
  7. barakuda

    JamiiForums Tanzania Nina mashaka na uungu wa Yesu. Inakuwaje Mungu anapigwa misumari msalabani na watu aliowaumba?

    Hili suala la holy Trinity sijawahi kulielewa na sitakuja kulielewa kamwe
  8. barakuda

    JamiiForums Tanzania Bajeti: Kula milo mitatu sio lazima anza kujibana ondoa mlo mmoja kila siku save hiyo pesa

    Yani maharagwe na chapati mbili unaita mlo ?
  9. barakuda

    JamiiForums Tanzania Hivi wazazi mnaoleaga hivi watoto huwa mnajielewa kweli?

    Huyo mtoto bila shaka anaitwa junia
  10. barakuda

    JamiiForums Tanzania KERO Watumishi wa Afya Nachingwea – Lindi tukidai fedha za kujikimu tunatishiwa kuhamishiwa Zahanati za Vijijini

    Hizi hela kuwa zinaliwa sana... Nakumbuka hr mmoja pale maliasili wizarani kipindi fulani alikuwa anaitwa Bernard Urassa alishiriki pakubwa kutudhulumu hela yetu ya kujikimu
  11. barakuda

    JamiiForums Tanzania Mtoto wa boss wangu ananitaka,nifanyaje?

    Kama unauza hardware inakuwaje unabaki na binti nyumbani
Back
Top Bottom