Recent content by barakuda

  1. barakuda

    JamiiForums Tanzania Hivi wazazi mnaoleaga hivi watoto huwa mnajielewa kweli?

    Huyo mtoto bila shaka anaitwa junia
  2. barakuda

    JamiiForums Tanzania KERO Watumishi wa Afya Nachingwea – Lindi tukidai fedha za kujikimu tunatishiwa kuhamishiwa Zahanati za Vijijini

    Hizi hela kuwa zinaliwa sana... Nakumbuka hr mmoja pale maliasili wizarani kipindi fulani alikuwa anaitwa Bernard Urassa alishiriki pakubwa kutudhulumu hela yetu ya kujikimu
  3. barakuda

    JamiiForums Tanzania Mtoto wa boss wangu ananitaka,nifanyaje?

    Kama unauza hardware inakuwaje unabaki na binti nyumbani
  4. barakuda

    JamiiForums Tanzania Nafikiria sehemu ya kwenda kurelax hakuna

    Pale moshi kulikuwa na uhuru Park .
  5. barakuda

    JamiiForums Tanzania Valentine imekaribia, ungependa member gani awe valentine wako?

    Bi Binti wa Zamani
  6. barakuda

    JamiiForums Tanzania Wapenzi wa nyimbo za Oldskool (mtaa wa mangoma) tukutane hapa

    Kula chuma hicho
  7. barakuda

    JamiiForums Tanzania Matthew 26:56 “Kisha wanafunzi wote walimwacha na kukimbia.”

    Hata kama ni wewe usingekimbia?
  8. barakuda

    JamiiForums Tanzania Uzi Maalum kwa ajili ya kupeana Salamu na Heri za Christmas na Mwaka Mpya 2026

    Naogopa kutuma salamu zangu mwanamke mmoja hapa maana anaweza akaikataa halafu ikawa fedheha
  9. barakuda

    JamiiForums Tanzania Mimi ni mwanaume ninayeonewa na mke wangu, Dkt. Gwajma nisaidie

    Hivi kweli ujiue kisa mwanamke? Hebu Wacha vituko. Ukijiua huyo mtoto si atabaki bila baba? Na ukujiua si ndiyo watapata uhuru zaidi? Cha kwanza hapo mpige huyo mwanamke chini hakufai kabisa huyo
  10. barakuda

    JamiiForums Tanzania Je, tume ya Jaji Chande itatumika kupoteza ushahidi wa ICC?

    Kwa akili zako unaona itawezekana?
  11. barakuda

    JamiiForums Tanzania Hiyo Marekani inayozuia watu kuingia ni ipi? Ni hii inayotetea ulawiti au nyingine?

    Sasa hutaki mnaolawitiwa mtetewe?
  12. barakuda

    JamiiForums Tanzania Tunaomngojea Humphrey tukutane hapa

    Mbona kama ameshaanza na alisema ni saa 3 ?
  13. barakuda

    JamiiForums Tanzania Ni nini sababu ya binadamu kuletwa Duniani?

    😂😂
Back
Top Bottom