- Thread starter
- #21
Huko wapo?Nenda Mahenge vijijini huko mtoto wako anapona
Huko wapo?Nenda Mahenge vijijini huko mtoto wako anapona
Sawa lakini pia hayo mambo nayo yapoPole sana. Kwa msaada mpeleke hospitalini, siyo Kwa waganga wa jadi
Sina uhakika mkuu 😀Sawa lakini pia hayo mambo nayo yapo
Hajarogwa mkuu. Hilo ni tatizo la kawaida isipokuwa tu ni kwamba hujapata suluhisho.Kinachonifanya nihangaike ni kua mwanzo alikua anaongea vizuri lakini alipofikisha miaka 3 tu kikamuanza asa kadri anavokua ndo chaongezeka badala kupungua
Njoo dmSikubali haiwezekani mtoto afikishe miaka mitatu anaongea vizuri,alikua anabwabwaja maneno chungu nzima gafla tu akaanza kua na kigugumizi Toka hapo Yani anateseka sana kwenye kuongea hadi utamuonea huruma.
Hua najiuliza ni nini kilitokea sijawahi pata jibu.Hivyo natafta mganga amuague pengine huezi jua ya walimwengu mi nahisi kabisa Kuna mtu alimfunga mdomo kwa manufaa yake mwenyewe.
Tangu lini umekuwa mtu wa ushauri nasaha🙁Nadhani Kuna sehemu imepata mushkeri kwenye ubongo wake.
Wapogoro na Wangindo wa kule siku hizi ni waongo na wezi hakuna dawa zaidi ya utapeli.Nenda Mahenge vijijini huko mtoto wako anapona
Usiweke hitimisho kwa kitu usicho na uzoefu nacho wala ujuzi nachoTatizo ni hili. Unachokitafuta haki-exist. Kwa kifupi ni kuwa hakuna mganga wa ukweli.
Hata hao madaktari unaowasifia hapa mbona dudubaya walimpa majibu ya uongo? Ongeeni vitu mulivyo na ujuzi navyoMpeleke hospital Professional Doctors wamuone
Achana na waganga wa kienyeji,watakutapeli hela zako.
Hata hao madaktari unaowasifia hapa mbona dudubaya walimpa majibu ya uongo? Ongeeni vitu mulivyo na ujuzi navyo
Hata hao madaktari unaowasifia hapa mbona dudubaya walimpa majibu ya uongo? Ongeeni vitu mulivyo na ujuzi navyo
Mungu amponye mtotoSikubali haiwezekani mtoto afikishe miaka mitatu anaongea vizuri,alikua anabwabwaja maneno chungu nzima gafla tu akaanza kua na kigugumizi Toka hapo Yani anateseka sana kwenye kuongea hadi utamuonea huruma.
Hua najiuliza ni nini kilitokea sijawahi pata jibu.Hivyo natafta mganga amuague pengine huezi jua ya walimwengu mi nahisi kabisa Kuna mtu alimfunga mdomo kwa manufaa yake mwenyewe.
Kuna mtu Yupo huko amespecialize kwenye kutibu magonjwa ya kichawi.. Watoto wanao chelewa kuongea au kutembea anatibu Sana. Anawatibu Sana pia wachezaji wanao umia uwanjaniWapogoro na Wangindo wa kule siku hizi ni waongo na wezi hakuna dawa zaidi ya utapeli.
Ampeleke mtoto hospitali kupata tiba stahiki.
Lengo ujue kuwa hao waganga wapo wakweli ambao wanakupa tiba mpaka unapona na wapo matapeli kama ilivyo madaktari tuVipi na Operation aliyofanyiwa hadi kupona alifanyiwa na professional Doctors au alifanyiwa na waganga wa Kienyeji?
Watoto wa humu hawayajui hayaKuna mtu Yupo huko amespecialize kwenye kutibu magonjwa ya kichawi.. Watoto wanao chelewa kuongea au kutembea anatibu Sana. Anawatibu Sana pia wachezaji wanao umia uwanjani
Je madaktari wa mwanzo walimtibu dudubaya? je tuwaite matapeli? Wapo waganga wakweli na waongo....Je dudu baya alitibiwa na kina nani mpaka akapona ?? Je hawakuwa madaktari?
Ama dudu baya alitibiwa na waganga wa kienyeji??
Waganga wa kienyeji wote ni matapeli 100%,