Mkuu pole sana kwa tatizo hilo.
Labda niandike kilichonisaidia mimi.
Kwanza kabisa nilipatwa na dalili kama zakwako nilipokuwa chuo Saut mwaka 2014 na niliteseka sana. Dalili zangu zilikuwa kali mno hadi maumivu yalisambaa hadi kwenye bega na mkono wa kushoto.Mara nyingine yalishuka hadi...
Mkuu pole sana kwa tatizo hilo.
Labda niandike kilichonisaidia mimi.
Kwanza kabisa nilipatwa na dalili kama zakwako nilipokuwa chuo Saut mwaka 2014 na niliteseka sana. Dalili zangu zilikuwa kali mno hadi maumivu yalisambaa hadi kwenye bega na mkono wa kushoto.Mara nyingine yalishuka hadi...
Pole sana mkuu.... Mm ilishawah nikuta tangu form 2 ilikuja kuisha yenyewe nilipohitimu form 6....kichwa chake sijawah ona maisha..... Nakushauri nenda hospital japo mm sikwendaga
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo kweny mafuta ya alizet nakataa..... Hebu tupe proof.... Coz mm nachojua mafuta ya alizet ndo mafuta ambayo atleat hayapo saturated kama kina korie na jamii yake..
Jaribu sensodyne, unaswaki nayo kwa dk 5 hivi, menu ya juu na chini plus ulimi hadi nyuma... Then safisha mdomo vzuri alafu malizia kwa chumvi(unaweka chumvi kwenye mswaki una sukutua tena kwa dk 5) after 2 days utaona good results
Pole sana mkuu... Mm nilikuwa na hlo tatizo since 2014.....nilihangaika sana.... Nilipima kila kitu bila Kugundua tatizo.... Mwishowe nika give up.....
Kina kipindi yalikuwa yanafululiza kuanzia ninapoamka kitandan hadi ninavyorudi kulala usiku.....
Nilihudhuria maombi just twice nimepona...
Watu vigeu geu kama nyie ndo mnarudisha taifa nyuma........ Ntakubaliana na wewe kama huu uzi cyo wa kwako Kitendo cha Rais Magufuli kutoshiriki katika kuwaaga Makamanda 14 wa JWTZ waliouawa DRC...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.