Msaada: Natokwa na jasho usiku, miguu inawaka moto

Young Gwahe

Member
Sep 3, 2017
53
162
Natokwa na jasho mda wote mchana na usiku, miguu inakufa ganzi na inaniwaka moto naomba msaada juu ya tatizo hili
 
Jaribu kutwanga vitunguu Saum vitie ndani ya maji afu loweka miguu ndani yake Kama kwenye beseni
 
Humu kuna majibu hatari,..
Haya pamoja kucheki HIV na TB, mi ushauri wangu ni ukapime kiasi cha thyroxine hormone kwenye damu.
 
pole sana mpendwa ....nami Nina mwanangu wa mwaka mmoja anatokwa sana na jasho ila yeye linatoka kichwani pekee , muda wowote atakao lala iwe mchana iwe usiku...kinacho nitisha zaidi ni vile anavuja sana jasho mpaka nahofia kuishiwa maji ,maana chochote atakacho lalia wakati huo lazima kiloe tepe tepe. NAOMBENI MSAADA WENU WA KITIBA LAKINI PIA NI UGONJWA GANI!???
 
pole sana mpendwa ....nami Nina mwanangu wa mwaka mmoja anatokwa sana na jasho ila yeye linatoka kichwani pekee , muda wowote atakao lala iwe mchana iwe usiku...kinacho nitisha zaidi ni vile anavuja sana jasho mpaka nahofia kuishiwa maji ,maana chochote atakacho lalia wakati huo lazima kiloe tepe tepe. NAOMBENI MSAADA WENU WA KITIBA LAKINI PIA NI UGONJWA GANI!???
kwa watoto kutokwa jasho jingi kichwani na shingoni ni kawaida saaana, maana bado tezi za jasho za sehemu nyingine kama makwapani hazikomaa kufanya kazi kama kwa watu wazima.
Ila ukiona hali hairidhishi, mtoto analialia sana au kudhoofu sana hiyo si kawaida, vitu vinanywoweza kusababisha hali hiyo ni pamoja na kiwango cha sukari kwenye damu kushuka sana, kiwango cha madini joto kuzidi sana, au huna kansa common kwa watoto wanaita Neuroblastoma, nk.
Hapo ni kwa jasho ambalo halina harufu wala mtoto hachemki.
 
Back
Top Bottom