Macho kuona kama ukungu

Macho kuona kama ukungu

omary khamis

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2016
Posts
402
Reaction score
77
Habar wanajf me naomba niwasilishe tatizo langu hua kuna tatizo la kuona kama ukungu linanitokeaga but linachukua wiki tatu mpaka mwezi , hua baada ya kuona ukungu kwa takriban dakika 10-15 macho yanakua sawa ila baada ya hapo naumwa kichwa mnoooo naomba mwenye kuhisi au kujua tatizo hili anisaidie kwa ushauri zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kama unauwezo nenda kamuone daktari wa macho kwenye hospitali kubwa yoyote
 
Habar wanajf me naomba niwasilishe tatizo langu hua kuna tatizo la kuona kama ukungu linanitokeaga but linachukua wiki tatu mpaka mwezi , hua baada ya kuona ukungu kwa takriban dakika 10-15 macho yanakua sawa ila baada ya hapo naumwa kichwa mnoooo naomba mwenye kuhisi au kujua tatizo hili anisaidie kwa ushauri zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu una umri gani sasa ivi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dr. ulivyomwelezea tatizo lako alisemaje kwani?
 
Punyeto iliyozidi pia huleta tatizo kama hilo
Kama unafamya mchezo huo kila siku jaribu kuacha au upige kwa week mara 2 au 1

Pole sana ndugu
 
Habar wanajf me naomba niwasilishe tatizo langu hua kuna tatizo la kuona kama ukungu linanitokeaga but linachukua wiki tatu mpaka mwezi , hua baada ya kuona ukungu kwa takriban dakika 10-15 macho yanakua sawa ila baada ya hapo naumwa kichwa mnoooo naomba mwenye kuhisi au kujua tatizo hili anisaidie kwa ushauri zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana mkuu.... Mm ilishawah nikuta tangu form 2 ilikuja kuisha yenyewe nilipohitimu form 6....kichwa chake sijawah ona maisha..... Nakushauri nenda hospital japo mm sikwendaga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu tizama (hospital) kama unatatizo lolote la mfumo wa chakula hasa utumbo, kama ndivyo tibu then rejesha mrejesho. Kula balance diet hasa matuda na mboga za majani.
 
Back
Top Bottom