Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 29,100
- 51,713
Kaka mpaka akwambie kuwa hakutaki ndio ujue? Embu jiongeze mtoto wa kiume.Habari zenu wakuu,
Nielekee kwenye mada, nimekuwa nikimtongoza mwanamke kwa muda mrefu sasa lakini amekuwa hanijibu, mara nyingi huwa tunapiga stori za kawaida lakini nikifika sehemu nikiingiza mada ya mapenzi hukaa kimya pia hunipotezea kwa muda wa siku tatu hadi wiki kama sijamuanza kumuongelesha.
Huwa najiuliza ukimya wake unamaanisha nini?
Unatongoza aelekei, hana interest na ww..achana nae


