Kiberenge
JF-Expert Member
- May 21, 2012
- 1,102
- 1,031
Nakuja miesasa utaishije bila mashine? au labda ni wewe una shida mlete nimjaribu kwangu akishindwa nitakupa dawa.
Nakuja miesasa utaishije bila mashine? au labda ni wewe una shida mlete nimjaribu kwangu akishindwa nitakupa dawa.
Tatizo dogo sana. Ni mishipa ya damu huenda imeziba au alikuwa na Tabia ya kujichua. Aende kwa wataalamu wa Urology wamsaidieKama title inavyojieleza hapo ni kuwa nina mpenzi wangu ambaye natarajia kufunga nae ndoa mda sio mrefu lakini nimekuja kugundua kuwa ana tatizo la uume kuwa legevu na muda mwingine anashindwa kabisa kusex hadi inafika kipindi najiskia vibaya sana hata yeye pia anakosa amani.
Lakini licha ya yote hayo kutokea nimekuwa nikimtia moyo kuwa ajiamini tu huenda anakuwa na uwoga labda lakini sina uhakika na hilo na mimi kumuacha siwezi sababu ya mapenzi ya kweli niliyonayo juu yake.
Msaada tafadhali.
Hapo kweny mafuta ya alizet nakataa..... Hebu tupe proof.... Coz mm nachojua mafuta ya alizet ndo mafuta ambayo atleat hayapo saturated kama kina korie na jamii yake..Tatizo la wanaume wengi ni njaa tu hakuna kingine. Ninaposema njaa si njaa ya kujaza tu tumbo, kuna vyakula anavyotakiwa ale mwanaume na kuna nyakati hatakiwi mwanaume asile. Mfano. Asubuhi ule chakula bora, protein ya kutosha mayai mawili chapati mbili + juice, ndizi mbivu....chapati ambayo haikupikwa kwa mafuta ya alizeti, haya mafuta hupunguza homon za kiume... Mchana kula kawaida na matunda ya kutosha. Jioni hakikisha huli chakula chenye wanga mwingi. Kula matunda tu hasa machungwa, ndizi, mbivu, matikiti (kula na mbegu zake)... Ukiweza kula machungwa kumi kwa siku ndani ya siku kumi na nne utakuwa na nguvu za kiume nyingi sana huenda mwanamke moja akashindwa kukukidhi.
Anatumia kondom, kama ni bila kondom afu perfomance mbaya hivyo achana nayeeKama title inavyojieleza hapo ni kuwa nina mpenzi wangu ambaye natarajia kufunga nae ndoa mda sio mrefu lakini nimekuja kugundua kuwa ana tatizo la uume kuwa legevu na muda mwingine anashindwa kabisa kusex hadi inafika kipindi najiskia vibaya sana hata yeye pia anakosa amani.
Lakini licha ya yote hayo kutokea nimekuwa nikimtia moyo kuwa ajiamini tu huenda anakuwa na uwoga labda lakini sina uhakika na hilo na mimi kumuacha siwezi sababu ya mapenzi ya kweli niliyonayo juu yake.
Msaada tafadhali.
Mkuu, msipende ku encourage sana watu kunyonyana mboo/****. It's not healthy, sema tu watu huwa hatuelewi!Itakua hauko sex hivyo humvutii kuendelea kusex na ww .bila shaka huyo hana tatizo lolote ...tatizo lipo kwako manjumat huna... DUSHE iki lala jaribu kuinyonya uone kama ijasimama fasta.. Ongeza utundu wanaume tumetofautiana...
Hii ni ED au Erectile Dysfunction and it has nothing to do with Abnormal Fertility Profile ya mtu, mostly chanzo kinakuwa psychological zaidi(uoga wa magonjwa, kutojiamini au kutoridhishwa na mwenza nk) ingawa uchovu, umri, ulevi wa kupindukia na magonjwa km kisukari (DM )zinaweza pia kuwa chanzo .Mpeleke hospital checking fertility profile ni muhimu doctors support ndio solution nzuri
Kwahiyo tuseme mmeshazini kabla hamjaoana .?Kama title inavyojieleza hapo ni kuwa nina mpenzi wangu ambaye natarajia kufunga nae ndoa mda sio mrefu lakini nimekuja kugundua kuwa ana tatizo la uume kuwa legevu na muda mwingine anashindwa kabisa kusex hadi inafika kipindi najiskia vibaya sana hata yeye pia anakosa amani.
Lakini licha ya yote hayo kutokea nimekuwa nikimtia moyo kuwa ajiamini tu huenda anakuwa na uwoga labda lakini sina uhakika na hilo na mimi kumuacha siwezi sababu ya mapenzi ya kweli niliyonayo juu yake.
Msaada tafadhali.
upo wapi ?sasa utaishije bila mashine? au labda ni wewe una shida mlete nimjaribu kwangu akishindwa nitakupa dawa.
aende handeni akanunue mkuyatiPole sana, Afanye yafuatayo:-
1. ajiondoe usajili wa chaputa.
2. Anywe maji mengi kwa siku kuanzia 1.5 litres na kuendelea.
3. Afanye mazoezi ya viungo kila siku.
4. Abadilishe chakula, ale mlo kamili ugali wa dona, mtama, ulezi, dagaa, samaki na mboga za majani,
5. Afanye "kegel exercise".
6. A- "boost self esteem" na kujiamini
Aafanye hivyo kisha ulete mrejesho!
Atumie dawa inaitwa erecto 50mg kwa muda wa siku saba tatizo litakwisha kabisa