Mpenzi wangu na tatizo la uume kulala mapema na kutosimamisha kabisa, nini tatizo?

Kama title inavyojieleza hapo ni kuwa nina mpenzi wangu ambaye natarajia kufunga nae ndoa mda sio mrefu lakini nimekuja kugundua kuwa ana tatizo la uume kuwa legevu na muda mwingine anashindwa kabisa kusex hadi inafika kipindi najiskia vibaya sana hata yeye pia anakosa amani.

Lakini licha ya yote hayo kutokea nimekuwa nikimtia moyo kuwa ajiamini tu huenda anakuwa na uwoga labda lakini sina uhakika na hilo na mimi kumuacha siwezi sababu ya mapenzi ya kweli niliyonayo juu yake.

Msaada tafadhali.
Tatizo dogo sana. Ni mishipa ya damu huenda imeziba au alikuwa na Tabia ya kujichua. Aende kwa wataalamu wa Urology wamsaidie
 
Tatizo la wanaume wengi ni njaa tu hakuna kingine. Ninaposema njaa si njaa ya kujaza tu tumbo, kuna vyakula anavyotakiwa ale mwanaume na kuna nyakati hatakiwi mwanaume asile. Mfano. Asubuhi ule chakula bora, protein ya kutosha mayai mawili chapati mbili + juice, ndizi mbivu....chapati ambayo haikupikwa kwa mafuta ya alizeti, haya mafuta hupunguza homon za kiume... Mchana kula kawaida na matunda ya kutosha. Jioni hakikisha huli chakula chenye wanga mwingi. Kula matunda tu hasa machungwa, ndizi, mbivu, matikiti (kula na mbegu zake)... Ukiweza kula machungwa kumi kwa siku ndani ya siku kumi na nne utakuwa na nguvu za kiume nyingi sana huenda mwanamke moja akashindwa kukukidhi.
Hapo kweny mafuta ya alizet nakataa..... Hebu tupe proof.... Coz mm nachojua mafuta ya alizet ndo mafuta ambayo atleat hayapo saturated kama kina korie na jamii yake..
 
Kama title inavyojieleza hapo ni kuwa nina mpenzi wangu ambaye natarajia kufunga nae ndoa mda sio mrefu lakini nimekuja kugundua kuwa ana tatizo la uume kuwa legevu na muda mwingine anashindwa kabisa kusex hadi inafika kipindi najiskia vibaya sana hata yeye pia anakosa amani.

Lakini licha ya yote hayo kutokea nimekuwa nikimtia moyo kuwa ajiamini tu huenda anakuwa na uwoga labda lakini sina uhakika na hilo na mimi kumuacha siwezi sababu ya mapenzi ya kweli niliyonayo juu yake.

Msaada tafadhali.
Anatumia kondom, kama ni bila kondom afu perfomance mbaya hivyo achana nayee
 
Itakua hauko sex hivyo humvutii kuendelea kusex na ww .bila shaka huyo hana tatizo lolote ...tatizo lipo kwako manjumat huna... DUSHE iki lala jaribu kuinyonya uone kama ijasimama fasta.. Ongeza utundu wanaume tumetofautiana...
Mkuu, msipende ku encourage sana watu kunyonyana mboo/****. It's not healthy, sema tu watu huwa hatuelewi!
 
Afanye mazoezi, anywe maji mengi sana, ale matunda mchanganyiko, apunguze vyakula vya carbohydrates, ale protein zaidi. Muulize kama anapata shida wakati wa kukojoa mkojo. Mkojo unatoka kwa shida au kuna maumivu, kama tatizo hilo lipo muone daktari.
 
Mpeleke hospital checking fertility profile ni muhimu doctors support ndio solution nzuri
Hii ni ED au Erectile Dysfunction and it has nothing to do with Abnormal Fertility Profile ya mtu, mostly chanzo kinakuwa psychological zaidi(uoga wa magonjwa, kutojiamini au kutoridhishwa na mwenza nk) ingawa uchovu, umri, ulevi wa kupindukia na magonjwa km kisukari (DM )zinaweza pia kuwa chanzo .
 
Kwanini mnafanya ngono kabla ya ndoa ivi nyie kizazi cha nyoka mna matatizo gani afu unakuja kutangaza bila tone ya aibu
 
Kama title inavyojieleza hapo ni kuwa nina mpenzi wangu ambaye natarajia kufunga nae ndoa mda sio mrefu lakini nimekuja kugundua kuwa ana tatizo la uume kuwa legevu na muda mwingine anashindwa kabisa kusex hadi inafika kipindi najiskia vibaya sana hata yeye pia anakosa amani.

Lakini licha ya yote hayo kutokea nimekuwa nikimtia moyo kuwa ajiamini tu huenda anakuwa na uwoga labda lakini sina uhakika na hilo na mimi kumuacha siwezi sababu ya mapenzi ya kweli niliyonayo juu yake.

Msaada tafadhali.
Kwahiyo tuseme mmeshazini kabla hamjaoana .?
 
Pole sana, Afanye yafuatayo:-
1. ajiondoe usajili wa chaputa.
2. Anywe maji mengi kwa siku kuanzia 1.5 litres na kuendelea.
3. Afanye mazoezi ya viungo kila siku.
4. Abadilishe chakula, ale mlo kamili ugali wa dona, mtama, ulezi, dagaa, samaki na mboga za majani,
5. Afanye "kegel exercise".
6. A- "boost self esteem" na kujiamini
Aafanye hivyo kisha ulete mrejesho!
 
Mwaka 2017?? Hebu njoo utupe mrejesho mmefikia wapi au ulimove on kwa dushe lingine
 
  • Thanks
Reactions: aye
Pole sana, Afanye yafuatayo:-
1. ajiondoe usajili wa chaputa.
2. Anywe maji mengi kwa siku kuanzia 1.5 litres na kuendelea.
3. Afanye mazoezi ya viungo kila siku.
4. Abadilishe chakula, ale mlo kamili ugali wa dona, mtama, ulezi, dagaa, samaki na mboga za majani,
5. Afanye "kegel exercise".
6. A- "boost self esteem" na kujiamini
Aafanye hivyo kisha ulete mrejesho!
aende handeni akanunue mkuyati
 
Acha kuwa mkali na kuwa mkosoaji wakati wa tendo. Usionyeshe kutoridhika au nyodo za waziwazi..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom