Bado Gavana na Waziri wa Fedha kwa confidence zote wanatuambia uchumi unakua, sasa unakua vipi wakati mfumuko wa bei unaongezeka! imefika wakati watendaji wasiwe wanasiasa
Cha msingi Loan Board kila wakituma fedha vyuoni wawe wanaweka wazi even katika website yao tu kuwa hela za wanafunzi wa Vyuo kadhaa na majina wayataje zimekwenda tarehe fulani, otherwise huu mchezo wa wahasibu wa vyuo kuziweka katika fixed A/C na kula cha juu hautakwisha
Baada ya kugundua kuwa wasomi ndio wanatoa changamoto, inawezekana kabisa serikali hii ya CCM imeamua kuzalisha kizazi cha wajinga ili iendelee kutawala, personally sikuona sababu ya msingi ya kufuta mitihani ya kidato cha II na hiki ndicho tulichovuna
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.