Unadhani watazifanyia nini? Wao na wengine wote linapokuwa ni suala maslahi na hasa pesa, hawana tofauti.
Tumekuwa masikini zaidi baada ya kodi zetu kutumiwa ndivyo sivyo..., bora hawa mabwana wangekaa kwao na hizo pesa kutumika kununua pembejeo.., hakuna faida na hili Bunge la CCM... Ni bora waanze kutumia technology kuwasiliana sababu vikao vyao vinatutia machungu wananchi..., hakuna cha maana kinachofanyika haya yote wangeweza kuyafanya kwa SMS... kwani kumpongeza raisi mpaka na sisi tuone ??Total wastage of time and our money! Kumekuwa na tofauti gani katika maisha yetu kabla hawajakaa na baada ya kukukaa
..Wana JF pamoja na kuwa mgeni humu ndani, lakini lipo jambo/mambo ambayo binafsi yananikosesha usingizi hususan yaliyojiri katika bunge lililopita. Yamejadiliwa mengi ikiwemo hotuba ya Rais, matatizo ya Umeme, Elimu, pamoja na Afya na katika hayo yote sijaona azimio lolote la msingi lililolenga kutusaidia wananchi maskini wa Tanzania..swali langu kwa bunge hasa na Mh. Spika..
My take: Tunahitaji katiba mpya haraka ili tuweze kuwawajibisha kwanza hawa tunaowachagua waeze kukidhi mahitaji yetu kwa wakati
- vikao vya Bunge ni kwa faida ya nani?
- mbona katika mambo yote yaliyozungumza sikusikia timelines/deadline walizowekeana.
- Baadhi ya Wabunge wa Upinzani walihoji nje ya Bunge kuhusu 90mil za mkopo kwao mbona hakuna taarifa zaidi kama huo mkopo umeanza mwaka huu tu au ulikuwa miaka yote iliyopita? nani amepokea?
..Wana JF pamoja na kuwa mgeni humu ndani, lakini lipo jambo/mambo ambayo binafsi yananikosesha usingizi hususan yaliyojiri katika bunge lililopita. Yamejadiliwa mengi ikiwemo hotuba ya Rais, matatizo ya Umeme, Elimu, pamoja na Afya na katika hayo yote sijaona azimio lolote la msingi lililolenga kutusaidia wananchi maskini wa Tanzania..swali langu kwa bunge hasa na Mh. Spika..
My take: Tunahitaji katiba mpya haraka ili tuweze kuwawajibisha kwanza hawa tunaowachagua waeze kukidhi mahitaji yetu kwa wakati
- vikao vya Bunge ni kwa faida ya nani?
- mbona katika mambo yote yaliyozungumza sikusikia timelines/deadline walizowekeana.
- Baadhi ya Wabunge wa Upinzani walihoji nje ya Bunge kuhusu 90mil za mkopo kwao mbona hakuna taarifa zaidi kama huo mkopo umeanza mwaka huu tu au ulikuwa miaka yote iliyopita? nani amepokea?
Anafanya kazi aliyotumwa na Mabwana zake. Si hana mme?
Another episode of sorrow in our nation